Kanzastone
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 244
- 355
Jana Jumatatu tarehe 21 June,2021 Makamu wa Rais Mh. Dkt Mpango aliitembelea Bohari ya Dawa MSD ili kujua utendaji wa hiyo Bohari ambayo ni kiungo muhimu sana katika sector ya afya kwasababu MSD inashughulika na mambo makuu 3 kutokana na uanzishwaji wake na sheria ya bunge na. 13 ya mwaka 1993 ambapo ni; kununua dawa, kuhifadhi pamoja na kusambaza dawa kwenye vituo vya afya nchi nzima.
Ujio wa Mh. Rais hapa Bohari ya Dawa MSD umekuwa wa ghafla kutokana na uzorotaji wa utendaji wa hii Bohari ya Dawa ambapo ilianza kuwa mbaya zaidi kuanzia mwaka 2016 na sasa hivi imezidi kuwa mbaya zaidi chini ya afande aliyepo sasa hivi kama Mkurugenzi Mkuu wa taasisi.
Nilimshangaa saana Mh. Makamu wa Rais kuzungumzia issue za; udokozi wa dawa kwamba ndo tatizo lililochangia uhaba wa dawa nchini KITU AMBACHO SIO KWELI, Mh. Rais kalishwa matango pori katika hilo. Eti Mh. Makamu wa Rais anadiliki kusema eti MSD ikae na Idara ya Utumishi ili kuangalia integrity ya wafanyakazi, sawa hilo inawezekana lakini hilo sio core tatizo linalochangia utendaji mbovu wa MSD.
Mh. Makamu wa Rais anatakiwa atambue kuwa utendaji mbovu wa MSD umechangiwa na mambo yafuatayo;
1. Wakurugenzi wakuu ambao wamekuwa wakiletwa MSD tangu mwaka 2016 wamekuwa ni watu wanaoletwa kwa majaribio yauongozi na hivyo kukosa vision
2. Kumekuwa na mgawanyjko mkubwa miongoni mwa Wakurugenzi hivyo kukosa common goals
3. Kumekuwa na uendeshaji wa taasisi kimajungu sana ambayo yanakuwa entertained na uongozi wa juu kiasi cha kwamba wafanyakazi wamekuwa wakikosa confidence ktk utendaji
4. Kila Mkurugenzi Mkuu mgeni akifika focus yake kubwa inakuwa ni kuwaondoe wafanyakazi waliokuwepo ili aweke anaowataka yeye
5. Matokeo yake as per 4. above wageni wapya wanakuwa na learning curve ya muda mrefu sana na kuathiri utendaji wa taasisi
6. Kuwaweka watu kwenye maeneo ambayo sio fani yao. Kwa mfano hivi karibuni kuna mfanyakazi aliwekwa kwenye nafasi ya Mkurugenzi wa Manunuzi wakati huyo hajaisomea hiyo fani mpaka wizara walipotoa instruction ya kumuondoa ndipo akatolewabkwenye hiyo nafasi
7. Pamekuwa hapana utulivu
Kwahiyo Mh. Makamu wa Rais anatakiwa aliangalie kwa jicho la pili kuhusu utendaji wa MSD. Kwa mfano kuna Mkaguzi Mkuu wa Ndani ambae amekuwa hana msaada wowote kwa hii taasisi, hawezi kufanya ukaguzi wa mfumo n.k
Asante.
Ujio wa Mh. Rais hapa Bohari ya Dawa MSD umekuwa wa ghafla kutokana na uzorotaji wa utendaji wa hii Bohari ya Dawa ambapo ilianza kuwa mbaya zaidi kuanzia mwaka 2016 na sasa hivi imezidi kuwa mbaya zaidi chini ya afande aliyepo sasa hivi kama Mkurugenzi Mkuu wa taasisi.
Nilimshangaa saana Mh. Makamu wa Rais kuzungumzia issue za; udokozi wa dawa kwamba ndo tatizo lililochangia uhaba wa dawa nchini KITU AMBACHO SIO KWELI, Mh. Rais kalishwa matango pori katika hilo. Eti Mh. Makamu wa Rais anadiliki kusema eti MSD ikae na Idara ya Utumishi ili kuangalia integrity ya wafanyakazi, sawa hilo inawezekana lakini hilo sio core tatizo linalochangia utendaji mbovu wa MSD.
Mh. Makamu wa Rais anatakiwa atambue kuwa utendaji mbovu wa MSD umechangiwa na mambo yafuatayo;
1. Wakurugenzi wakuu ambao wamekuwa wakiletwa MSD tangu mwaka 2016 wamekuwa ni watu wanaoletwa kwa majaribio yauongozi na hivyo kukosa vision
2. Kumekuwa na mgawanyjko mkubwa miongoni mwa Wakurugenzi hivyo kukosa common goals
3. Kumekuwa na uendeshaji wa taasisi kimajungu sana ambayo yanakuwa entertained na uongozi wa juu kiasi cha kwamba wafanyakazi wamekuwa wakikosa confidence ktk utendaji
4. Kila Mkurugenzi Mkuu mgeni akifika focus yake kubwa inakuwa ni kuwaondoe wafanyakazi waliokuwepo ili aweke anaowataka yeye
5. Matokeo yake as per 4. above wageni wapya wanakuwa na learning curve ya muda mrefu sana na kuathiri utendaji wa taasisi
6. Kuwaweka watu kwenye maeneo ambayo sio fani yao. Kwa mfano hivi karibuni kuna mfanyakazi aliwekwa kwenye nafasi ya Mkurugenzi wa Manunuzi wakati huyo hajaisomea hiyo fani mpaka wizara walipotoa instruction ya kumuondoa ndipo akatolewabkwenye hiyo nafasi
7. Pamekuwa hapana utulivu
Kwahiyo Mh. Makamu wa Rais anatakiwa aliangalie kwa jicho la pili kuhusu utendaji wa MSD. Kwa mfano kuna Mkaguzi Mkuu wa Ndani ambae amekuwa hana msaada wowote kwa hii taasisi, hawezi kufanya ukaguzi wa mfumo n.k
Asante.