Dawa za Meno zinadaiwa kuwa na viini vya kupunguza IQ

Criterion

JF-Expert Member
Jan 8, 2008
11,798
11,881
Serikali za Africa kwa dhamina na uelewa, kwa nguvu zote wekezeni katika matumizi ya maliasili zetu. Vinginevyo kutegemea chanjo, dawa, nk kutoka kwa wajanja vitaendelea kutufanya watumwa kwa wageni na vizazi vyetu vyote kama vitakuwepo.

=======

 
Tupigie miswaki ya miti na mkaa
Kama serikali zinamikataba ya utegemezi kutoka kwa hawa watu wasio na utu, sisi wananchi tuchukue hatua za kususia matumizi ya bidhaa ambazo tuna mbadala wake tayari. Wakikosa soko, hawataziingiza tena labda waweke sheria inayozuia watu kutumia mimea.

Mara nyingi tumesikia vitu vingi sana vina madhara kwa binadamu tena si kwa bahati mbaya:-

1) Misaada ya kujengewa miradi na china = Ufisadi wenye lengo la kumilikishana Ardhi za nchi maskini kuwa himaya ya china.
2) Condom za kuzuia HIV & Uzazi wa mpango = Zina virusi vya ukimwi ili kuwamaliza Waafrika.
3) Vidonge vya uzazi wa mpango = vinawa sterilize wanawake wasishike ujauzito ili baadaye Africa ibaki bila watu.
4) Brazier za wamama kutoka nje = Zina vigoroli vimefichwa kwenye hems vinavyohusishwa na cancer za matiti.
5) Chanjo za korona = hazijafanyiwa majaribio kwa wanyama na hivyo zinajaribiwa kwa watu lakini zinaongeza maambukizi ya korona, zinaleta virusi vya ukimwi, zinaua, zinakwend kuathiri utu wa mtu na haijulikani baada ya kuathirika huko kama watazaliwa binadamu wa kawaida tena.
6)
nimechoka kwa sababu niavyoandika nachukia na mimi sitaki kuchukia.

NI wakati muafaka wa Waafrica kukataa kutawaliwa na kufanywa watumwa mamboleo.
 
Madawa mengi yana side effects
Tuchukue hatua ndugu zangu. Tujiokoe na vizazi vyetu kwa kuanza kwa nguvu kutumia dawa zetu na tuombe wataalamu wetu watafiti wa science wasaidiane kwa Speed ya G4 kuboresha tiba zetu, na serikali bila kigugumizi, iwekeze katika hili. Ni suala la haraka na linahitaji kipaumbele.
 
Kama serikali zinamikataba ya utegemezi kutoka kwa hawa watu wasio na utu, sisi wananchi tuchukue hatua za kususia matumizi ya bidhaa ambazo tuna mbadala wake tayari. Wakikosa soko, hawataziingiza tena labda waweke sheria inayozuia watu kutumia mimea.

Mara nyingi tumesikia vitu vingi sana vina madhara kwa binadamu tena si kwa bahati mbaya:-

1) Misaada ya kujengewa miradi na china = Ufisadi wenye lengo la kumilikishana Ardhi za nchi maskini kuwa himaya ya china.
2) Condom za kuzuia HIV & Uzazi wa mpango = Zina virusi vya ukimwi ili kuwamaliza Waafrika.
3) Vidonge vya uzazi wa mpango = vinawa sterilize wanawake wasishike ujauzito ili baadaye Africa ibaki bila watu.
4) Brazier za wamama kutoka nje = Zina vigoroli vimefichwa kwenye hems vinavyohusishwa na cancer za matiti.
5) Chanjo za korona = hazijafanyiwa majaribio kwa wanyama na hivyo zinajaribiwa kwa watu lakini zinaongeza maambukizi ya korona, zinaleta virusi vya ukimwi, zinaua, zinakwend kuathiri utu wa mtu na haijulikani baada ya kuathirika huko kama watazaliwa binadamu wa kawaida tena.
6)
nimechoka kwa sababu niavyoandika nachukia na mimi sitaki kuchukia.

NI wakati muafaka wa Waafrica kukataa kutawaliwa na kufanywa watumwa mamboleo.
Vingi hapo ni uzushi mtupu, mnawategemea kwa almost kila kitu halafu mnawananga tena. Yani wawamalize waafrica na bidhaa zao wamuuzie nani sasa. Na waafrica mmalizwe kwasababu zipi?? Ni maskini, mnatawalika kirahisi hamna ushawishi wowote duniani, hamna umoja.
Ifike muda tuache kutishana, tumia kila kitu kwa kiasi hakuna kisicho na madhara ukikitumia mara kwa mara. Hata wao baadhi ya vitu tunavyotumia hata wao wanavitumia pia. Kama chanjo ya corona hata wao wanachanjwa pia.
 
Source yako ni YouTube? Kuna chapisho limetolewa na mwanasayansi aliyetoka lab au ni mawazo mgando ya mmiliki wa hiyo channel.
 
Kama serikali zinamikataba ya utegemezi kutoka kwa hawa watu wasio na utu, sisi wananchi tuchukue hatua za kususia matumizi ya bidhaa ambazo tuna mbadala wake tayari. Wakikosa soko, hawataziingiza tena labda waweke sheria inayozuia watu kutumia mimea.

Mara nyingi tumesikia vitu vingi sana vina madhara kwa binadamu tena si kwa bahati mbaya:-

1) Misaada ya kujengewa miradi na china = Ufisadi wenye lengo la kumilikishana Ardhi za nchi maskini kuwa himaya ya china.
2) Condom za kuzuia HIV & Uzazi wa mpango = Zina virusi vya ukimwi ili kuwamaliza Waafrika.
3) Vidonge vya uzazi wa mpango = vinawa sterilize wanawake wasishike ujauzito ili baadaye Africa ibaki bila watu.
4) Brazier za wamama kutoka nje = Zina vigoroli vimefichwa kwenye hems vinavyohusishwa na cancer za matiti.
5) Chanjo za korona = hazijafanyiwa majaribio kwa wanyama na hivyo zinajaribiwa kwa watu lakini zinaongeza maambukizi ya korona, zinaleta virusi vya ukimwi, zinaua, zinakwend kuathiri utu wa mtu na haijulikani baada ya kuathirika huko kama watazaliwa binadamu wa kawaida tena.
6)
nimechoka kwa sababu niavyoandika nachukia na mimi sitaki kuchukia.

NI wakati muafaka wa Waafrica kukataa kutawaliwa na kufanywa watumwa mamboleo.
Naomba unipe sababu ya kwanini wanataka kutumaliza waafrika?
 
Magufurili alishatwambia hakuna mtu au mzungu atakupa msaada wa burebure tu
Atatoa msaada lakini nyuma ya pazia kuna jambo tu
 
Vingi hapo ni uzushi mtupu, mnawategemea kwa almost kila kitu halafu mnawananga tena. Yani wawamalize waafrica na bidhaa zao wamuuzie nani sasa. Na waafrica mmalizwe kwasababu zipi?? Ni maskini, mnatawalika kirahisi hamna ushawishi wowote duniani, hamna umoja.
Ifike muda tuache kutishana, tumia kila kitu kwa kiasi hakuna kisicho na madhara ukikitumia mara kwa mara. Hata wao baadhi ya vitu tunavyotumia hata wao wanavitumia pia. Kama chanjo ya corona hata wao wanachanjwa pia.
Una uhakika wachanja chanjo hivyo hiyo tunayochanjwa huku Afrika..nikwambie tu haya magonjwa tunayoteseka nayo huku dawa zote wanazo..ila wamezificha ama wanatumia kwao huko..ili sisi tuendelee kutawaliwa huku wakichukua resources zetu kiulaini.

Hivi hujui kuna product ambazo wanazalisha kwao na haziruhusiwi kuuzwa katika masoko yao ya ndani..hujawahi ona product imeandikwa for export only..?

Changamka tumia akili.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika wachanja chanjo hivyo hiyo tunayochanjwa huku Afrika..nikwambie tu haya magonjwa tunayoteseka nayo huku dawa zote wanazo..ila wamezificha ama wanatumia kwao huko..ili sisi tuendelee kutawaliwa huku wakichukua resources zetu kiulaini.

Hivi hujui kuna product ambazo wanazalisha kwao na haziruhusiwi kuuzwa katika masoko yao ya ndani..hujawahi ona product imeandikwa for export only..?

Changamka tumia akili.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kufikitika mnayoaminishana hayo mkuu. Hali ya hewa tofauti, mtindo wa maisha tofauti. Hivi unategemea kukuta kipindupindu ulaya?? Malaria je?? Ndio magonjwa yetu hayo.

Tumetofautiana vingi mkuu kwahiyo matatizo yetu sio yao na yao sio yetu. Na hiyo unayosema for export only ya hizo bidhaa kwani wewe hujawahi kuona baadhi ya bidhaa zinakatazwa kuingizwa nchini kwasababu ya madhara yake?? Hujawai kuona vyakula/vipodozi vikiharibiwa kwa kukosa ubora??. Kwa maana hiyo vingi vinateketezwa na wao wanaviexport kwa sababu za kibiashara zaidi sidhani ka ni hiyo dhana yako ya kuwapunguza waafrica.

Mkuu sikatai kuna vingi vyenye madhara vinaingizwa kuhalali lakini vingi ni eidha mtumiaji akosee matumizi au azidishe kipimo na vikitumiwa vizuri havina madhara kwa mtumiaji/vina madhara kidogo.

Na ni chanjo ipi ambayo wao wanatumia ambayo ni tofauti na hii inayoletwa Africa??
 
Vingi hapo ni uzushi mtupu, mnawategemea kwa almost kila kitu halafu mnawananga tena. Yani wawamalize waafrica na bidhaa zao wamuuzie nani sasa. Na waafrica mmalizwe kwasababu zipi?? Ni maskini, mnatawalika kirahisi hamna ushawishi wowote duniani, hamna umoja.
Ifike muda tuache kutishana, tumia kila kitu kwa kiasi hakuna kisicho na madhara ukikitumia mara kwa mara. Hata wao baadhi ya vitu tunavyotumia hata wao wanavitumia pia. Kama chanjo ya corona hata wao wanachanjwa pia.
Kama huna utafiti usinijibu. Kama unana ni uzushi leta takwimu zako za ukweli. Vinginevyo kaa mbali na maandiko yangu. Huu siyo muda wa kufanya ujinga!.
 
Vingi hapo ni uzushi mtupu, mnawategemea kwa almost kila kitu halafu mnawananga tena. Yani wawamalize waafrica na bidhaa zao wamuuzie nani sasa. Na waafrica mmalizwe kwasababu zipi?? Ni maskini, mnatawalika kirahisi hamna ushawishi wowote duniani, hamna umoja.
Ifike muda tuache kutishana, tumia kila kitu kwa kiasi hakuna kisicho na madhara ukikitumia mara kwa mara. Hata wao baadhi ya vitu tunavyotumia hata wao wanavitumia pia. Kama chanjo ya corona hata wao wanachanjwa pia.
Kama huna utafiti usinijibu. Kama unana ni uzushi leta takwimu zako za ukweli. Vinginevyo kaa mbali na maandiko yangu. Huu siyo muda wa kufanya ujinga!.
Source yako ni YouTube? Kuna chapisho limetolewa na mwanasayansi aliyetoka lab au ni mawazo mgando ya mmiliki wa hiyo channel.

Kabla hujaendelea, naomba ufahamu hapa si arena ya kampeni. Kwanza katafute kujua tofauti na uhusiano wa Research Reports na Findings Dissemination Methods. If you want to challenge the information, challenge contents zilizomo kwenye you-tube packages kuliko chombo cha mawasiliano. Vinginevyo bado bwana mdogo. Hii siyo insta au facebook stories na interview za wasanii wa bongo ambako pengine umezowea.
 
Naomba unipe sababu ya kwanini wanataka kutumaliza waafrika?
Unapashwa kwanza kujua kwa nini waafrica wanabaguliwa karibu duniani kote. Kama hilo hulijui, itakuwa vigumu kukuelewesha kwa nini asiyekutaka angetamani upotee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom