Dawa ni kuiondoa CCM Madarakani. Raia wana Maisha magumu kwa makusudi

Prof Koboko

JF-Expert Member
Aug 15, 2020
350
2,549
Sasa hatuwezi kuendelea kuwaachia nchi watu walioshindwa kuiendesha, haiwezekani gharama za maisha kupanda kwa kiasi kikubwa huku pesa mzunguko wake ni mbovu halafu kila siku kudumu Chama chaMapinduzi.

Sasahivi kununua vifaa vya ujenzi ukiwa mipakani Tarime kutoka nchi jirani ya Kenya ni nafuu, kununua vifaa vya ujenzi ukiwa Tunduma toka Zambia ni nafuu kuliko kununua toka Tanzania.

Hata kujaza gari yako mafuta kutoka kwenye nchi jirani ni ahueni kuliko nchi yetu, mtu unajiuliza hivi Bongo kuna mdudu gani? Kwanini tunaendelea kuuimizana makusudi? Vifaa vya ujenzi bei juu, Luku makato juu, Mafuta bei juu, Miamala ya simu bei juu, hivi wanataka tukaishi taifa gani?

Kama wenzetu wamewapa rais wao unafuu wa maisha sisi nchi kumwa yenye rasilimali asili kibao tunashindwa nini? Hivi nchi jirani wanatushinda kitu gani?

Kuna kauli fulani ya hovyo hovyo sana eti lipa tozo uchangie maendeleo yako, hii ni dharau kwa watu wenye mlo mmoja kwa siku.

Mnashindwa kusimamia uwekezaji wa kutosha kwenye Utalii, viwanda na madini tupate pesa ya kutosha tuache kuongeza tozo zinazowaumiza wananchi, mnafurahia kwa sababu mnalipwa mishahara mikubwa, shida za wengine hamzijui mnaamua mtakapo.

Nilichogundua ni kwamba lazima CCM itoke madarakani, haiwezekani bunge jua bubu linapitisha bajeti inavyoumiza wapiga kura wako kimya wanaogopa eti wanatishwa bunge litavunja, khaa si bora livunjwe wasimamie maslahi ya taifa?

CCM imeshindwa kabisa kumpunguzia mwananchi ugumu wa maisha na matokeo yake yake wamekua na visingizio eti bado wanatengeneza nchi. Lazima raia wafurahie taifa lake badala ya kutumia bila sababu za msingi.
 
Mishahara mikubwa na kinga za kutokushitakiwa ndio sababu hasa ya haya yote kirusi kikubwa ni CCM tukiiondoa Ikulu CCM Tumepona
 
Msipige makelele mengi, CCM wanatuangalia tu tunavyochachalika ,kwa ufupi wanatupotezea au wanawapotezea wapinzani,wameunguza soko ili wapate kiki ya kujenga soko jipya, hayo yao.

Kwa nini CCM wanatuangalia tu na kutupotezea ? Sababu kuu ni Vyama vya uinzani havijaweka msimamo ulio wazi juu ya uwepo wa tume huru,inatakiwa hapa wapige makelele mpaka dunia isisimke na kusikia kuwa Tanzania kuna kilio cha kutaka Tume Huru ya Uchaguzi iwe huru.
 
Msipige makelele mengi ,CCM wanatuangalia tu tunavyochachalika ,kwa ufupi wanatupotezea au wanawapotezea wapinzani,wameunguza soko ili wapate kiki ya kujenga soko jipya,hayo yao.
Kwa nini CCM wanatuangalia tu na kutupotezea ? Sababu kuu ni Vyama vya uinzani havijaweka msimamo ulio wazi juu ya uwepo wa tume huru,inatakiwa hapa wapige makelele mpaka dunia isisimke na kusikia kuwa Tanzania kuna kilio cha kutaka Tume Huru ya Uchaguzi iwe huru.
Upinzani nao ni Utopolo tu, angalia upinzani uliopo Kenya. Wa kwetu wanaogopa kufa,wakitishwa wanafuata. Unatafuta haki unaogopa kifo?
Ati Lema naye alikua mpinzani
 
Uchumi wa dunia nzima uko hoi. Hata aje nani bado hali itasumbua kwa muda kidogo
Malawi Lita moja ya mafuta ya Petrol Ni tsh 1800 na Katavi Lita moja ya mafuta ya Petrol Ni tsh 2700.

Kama uchumi wa dunia nzima uko hoi kwa Nini malaw Bei iko na chini na mafuta Yao yanapitia dar es salam
 
Tupo uchumi wa Kati mkuu,kipengele Cha kushusha gharama za maisha hakipo kwenye ilani,Sasa Ni mipango ya kuangalia kamati ya uchunguzi wa Moto k-koo na ujenzi wa visima
 
Malawi Lita moja ya mafuta ya Petrol Ni tsh 1800 na Katavi Lita moja ya mafuta ya Petrol Ni tsh 2700.

Kama uchumi wa dunia nzima uko hoi kwa Nini malaw Bei iko na chini na mafuta Yao yanapitia dar es salam
Alafu Nchi Kama Zambia mafuta yanapita bandari ya dar kwenda kwao
 
Sasa hatuwezi kuendelea kuwaachia nchi watu walioshindwa kuiendesha, haiwezekani gharama za maisha kupanda kwa kiasi kikubwa huku pesa mzunguko wake ni mbovu halafu kila siku kudumu Chama chaMapinduzi.

Sasahivi kununua vifaa vya ujenzi ukiwa mipakani Tarime kutoka nchi jirani ya Kenya ni nafuu, kununua vifaa vya ujenzi ukiwa Tunduma toka Zambia Ni nafuu kuliko kununua toka Tanzania.

Hata kujaza gari yako mafuta kutoka kwenye nchi jirani ni ahueni kuliko nchi yetu, mtu unajiuliza hivi Bongo kuna mdudu gani? Kwanini tunaendelea kuuimizana makusudi? Vifaa vya ujenzi bei juu, Luku makato juu, Mafuta bei juu, Miamala ya simu bei juu, hivi wanataka tukaishi taifa gani?

Kama wenzetu wamewapa rais wao unafuu wa maisha sisi nchi kumwa yenye rasilimali asili kibao tunashindwa nini? Hivi nchi jirani wanatushinda kitu gani?

Kuna kauli fulani ya hovyo hovyo sana eti lipa tozo uchangie maendeleo yako, hii ni dharau kwa watu wenye mlo mmoja kwa siku.
Mnashindwa kusimamia uwekezaji wa kutosha kwenye Utalii,viwanda na madini tupate pesa ya kutosha tuache kuongeza tozo zinazowaumiza wananchi, mnafurahia kwa sababu mnalipwa mishahara mikubwa, shida za wengine hamzijui mnaamua mtakapo.

Nilichogundua ni kwamba lazima CCM itoke madarakani, haiwezekani bunge jua bubu linapitisha bajeti inavyoumiza wapiga kura wako kimya wanaogopa eti wanatishwa bunge litavunja, khaa si bora livunjwe wasimamie maslahi ya taifa?

CCM imeshindwa kabisa kumpunguzia mwananchi ugumu wa maisha na matokeo yake yake wamekua na visingizio eti bado wanatengeneza nchi. Lazima raia wafurahie taifa lake badala ya kutumia bila sababu za msingi.
ndiyo sababu hata wawekezaji wanakuwa wazito sana kuja tz. Si ajabu tutaanza kuona hata balozi mbalimbali zinahamia nchi jirani na kuacha watumishi wao wachache hapa tz hasa wa consular tu.
 
Back
Top Bottom