Habari!
Leo nimeona niwasaidie kuwatajia dawa ya asili ya Bawasili ya uhakika, nimewahi kuwasaidia wagonjwa wengi tatizo la Bawasili na wakapona.
DAWA
1. Mizizi ya mmea unaoitwa 9 disemba (unavyoitwa huku Pwani)
2.Mizizi ya miti ya mifenesi.
MATUMIZI
1. Kata vipande vidogo vidogo vya mzizi...