Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Habarini Wanajf
Naomba kuelekezwa namna ya matumizi ya dawa za kuangamiza magugu sinazofahamika kama palizi.
Nimelima alizeti maeneo ya Dodoma.
Mimea ya Alizeti ilikuwa na magugu, nikaelekezwa kuwa nikipiga dawa mimea inabaki halafu magugu yanakauka. Hivyo nikapuliza dawa hiyo shambani lakini haikufanya kazi yeyote ikabidi niingie gharama nyingine za palizi kwa kutumia jembe la mkono..
Naomba kujulishwa hii dawa inapulizwa wakati upi?
Msimu ujao najipanga kulima mahindi pia
Naomba kuelekezwa namna ya matumizi ya dawa za kuangamiza magugu sinazofahamika kama palizi.
Nimelima alizeti maeneo ya Dodoma.
Mimea ya Alizeti ilikuwa na magugu, nikaelekezwa kuwa nikipiga dawa mimea inabaki halafu magugu yanakauka. Hivyo nikapuliza dawa hiyo shambani lakini haikufanya kazi yeyote ikabidi niingie gharama nyingine za palizi kwa kutumia jembe la mkono..
Naomba kujulishwa hii dawa inapulizwa wakati upi?
Msimu ujao najipanga kulima mahindi pia