kumbee nimecheka mno😃😄Haina shidq hapa hapa utapata achana na ma agent wananyanyasa sana aiseee
Amesema anahofia nini hasa?Nimemwambia hapa ila anasema kuna watu wabaya huko,
Eti watamfanya mbayaAmesema anahofia nini hasa?
Astaghifilullah!Kwani watamlazimisha au atachombezwa kispoti kuingia kwenye huo ubaya?Eti watamfanya mbaya
Mm kaniambia kule ni mbali mno na anaskia kuna unyanyasaji hakuniambia wa nn haswa ila, kinacho muogopesha zaidi ni pia swala la matibabu as huko wa Tanganyika wana kuwa neglected.Astaghifikullah!Kwani watamlazimisha au atachombezwa kispoti kuingia kwenye huo ubaya?
NB: Kuhusu ubaya;Ungewekwa wazi aina hiyo ya ubaya kama ni ujambazi,ugaidi,biashara ya viyngi vya binadamu/binadamu mwenyewe,uuzaji madawa(dawa)za kulevya,ufuska n.k.
Ni kwa taarifa fiche/za kiintelijensia alizozipata,kushuhudia mubashar kwa mmoja wa wahanga au ameshawahi kuhudumu rasmi kitaaluma yake ya uyaya?Mm kaniambia kule ni mbali mno na anaskia kuna unyanyasaji hakuniambia wa nn haswa ila, kinacho muogopesha zaidi ni pia swala la matibabu as huko wa Tanganyika wana kuwa neglected.
honestly anaogopa bure, ni family ya baba mama na mtoto wa miezi 9, hatofanya kaz peke yake muda wote, kua huyo mama watakua wanasaidiana, mshahara ni elf 70 per month mama ni muajiriwa baba muajiriwaMm kaniambia kule ni mbali mno na anaskia kuna unyanyasaji hakuniambia wa nn haswa ila, kinacho muogopesha zaidi ni pia swala la matibabu as huko wa Tanganyika wana kuwa neglected.
Tatizo ni Zanzibar, tena pemba!honestly anaogopa bure, ni family ya baba mama na mtoto wa miezi 9, hatofanya kaz peke yake muda wote, kua huyo mama watakua wanasaidiana, mshahara ni elf 70 per month mama ni muajiriwa baba muajiriwa
Mama kafungua nchi mkuu.Nadhani ilikuwa aidha imejifunga yenyewe au imefungwa(na akina nani?Mimi sijui).Waache vijana waende kutafuta riziki kama waendavyo Uarabuni.Kwanza Zanzibar tumeichelewesha tu.Ingekuwa ni Dubai ya pwani ya Afrika mashariki.Tatizo ni Zanzibar, tena pemba!
Muungano wenyewe umekalia kuti kavu!