dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. comrade_kipepe

    Huyu dada anahoja lakini anaiwasilisha kwa maneno makali sana!

    Anaongea point Sana Lakini anatumia hip-hop iliopita kipimo Minamshauri apunguze ukali wa maneno maana anashambulia Sana, japo anayoongea Yana ukweli.
  2. mager6

    Una Mke anayewapenda wadogo zake kiasi cha kijana wa umri wa miaka 34 anaishi Kwa Dada

    Huyu mwanamke anahisi napenda hii tabia anayoifanya. Wanaume tumelelewa kuwa na roho flani hivi. Ukimuona kijana katika umri ambayo anaogopa kupanga Mipango nankupapambana na maisha roho inanidunda Kwa Sabab anakiwa mzigo. Kuna wakati naona hata ndoa itaharibiwa na Hawa ndugu maana nahisi na...
  3. britanicca

    GE2025 Nimetonywa: Mauzi kumfuata wa Kisesa, labda muandika Majina ya vita Kagera amalize mchezo maana dada Kaitwa

    Dada mtu kaitwa kwa Bwana mkubwa muandika Majina ya waenda vita ya Kagera hapo pembeni baada ya kusikia Kaka na Baba wana afiki kabisa Jamaa kutua kwenye usajili Mpya ! Kuna taarifa kwamba atahakikisha anakinukisha japo naye ananuka Kesho Saa tano Mpaka kumi kwaweza kuwapo Breaking Nyuziiii...
  4. S

    Kuna clip ya dada mmoja anaelezea kifo cha Mwendake, mazingira yake na kuna vigogo kawatuhumu kwa kuwataja majina

    Kuna clip ya Dada mmoja anaongea kwa hasira kuhusu mazingira ya Mwendazake kufariki huku akitaja baadhi ya vigogo anaowatuhumu kuhusika akiwepo Mstaafu mmoja. Hii clip bila shaka ni mpya na ni wazi wa nchi hii kuna mambo mazito yanaendelea. Kwakeli nimeshangaa sana na sidhani huyu dada kama...
  5. Pdidy

    Hivi mtoto wa dada kawe kapita ama kichujiooo kimempitiaaa

    Sijaangalia list ya kawe Kwa anaejua jamani mtoto wa dadaa kapita ama msibaa umemuangukiaaa?? Kama kachinjwaaaa naagiza keki kwa ajili ya wajumbee Oyeeee
  6. haszu

    Tulipokua wadogo Nilikua nikishindanishwa na dada zangu kukatika.

    Kuna mambo nikiyakumbuka naona yalikua ya ajabu sana sema ni vile kukaa kwenye nyumba yenye wadada wengi, yani tulikua tunashindana ni nani anakatika sana, tunafunga kanga kiunoni wanaimba tunacheza aah🙌🙌🙌 Lile suala lingeniletea athari sana, hasa ukizimgatia na muonekano wangu.
  7. Kazanazo

    Hivi yupi ni shangazi kati ya dada yake baba au mke wa mjomba

    Wataalamu wa lugha tuelimishane kidogo yupi hapo ni shangazi na kwanini maana hawa watu wawili huwa wananichanganya
  8. A glass of water

    Dada wa kazi analeta Kizaazaa na Mkanganyiko

    Habari wanajamvi, bila shaka ni wazima kabisa... Moja kwa moja twende kwenye Mada. Mke kaamua kuleta dada wa kazi nyumbani ili amsaidie kazi ya kulea mtoto. Jambo ambalo nililipinga kwa kiasi kwani binafsi nimekua sehemu sana ya kusaidia kazi hizo na sikuona huo umuhimu wa dada. Siku zikasonga...
  9. G

    Niko kitandani siku ya pili Sasa Baada ya kukutana na huyu Dada

    Wakuu wasalaam. Moja kwa moja kwenye mada! Iko hivi juzi nilibutua pesa nikaamua kwenda Mwanza Kujipa pole nikatoka huku Geita vijijini Nikale Maisha kidogo. Nikafikia kiwanja kimoja kinaitwa climax badae nikapata mtoto nikaenda kupoa nae! Nilitumia mpila lakini Ile ya foreplay sijui...
  10. CARIFONIA

    Wewe dada tambua sisi sio milima

    Dah! Sina mengi ya kusema ila wewe dada tambua sisi sio milima ipo siku tutaonana tena. Mimi sio wa kunilia hela yangu ya nauli au kwa kua nilijiongeza nikakutumi kibunda, mbaya zaidi unazima simu huku status umepost wimbo wa Diamond eti aibu yahani haya naona mimi tumekutana leo eti kaniamini...
  11. James 25th

    Dada wakazi anahitajika

    Habari wapendwa. Anahitajika Dada wa Kazi (nyumbani). Location: sinza. Mshahara : 70elf Kukaa kwa Boss Kama upo Dsm Nipigie 0627776134
  12. M

    Akina dada kumpa Ex wako penzi siku moja kabla ya harusi huwa mnafikiria nini?

    Inashangaza sana mdada anakuwa na mtu wake kwa muda mrefu lakini hamuoi na wala hana mpango wa kumuoa. Lakini anakuja kupata mtu wa kumuoa cha ajabu kabla ya harusi anakwenda kumpa penzi na anagongwa kana kwamba sio mchumba wa mtu. Hii inashangaza sana.
  13. K

    Polepole pigania mfumo! Dada yako kutekwa ni maelezo tosha!

    Polepole pigania mfumo! Dada yako kutekwa ni maelezo tosha!. Wewe ulikuwa mwenezi badala ya kupigania kubadilisha wahuni unatakiwa kupigania mfumo mzima wa nchi ili Dada, Kaka, Mama, na ndugu yeyote asiweze kutekwa kwasababu tu ya mawazo yake. Makanisa yasifungwe kwa kukasirisha watu hata maka...
  14. M

    Polepole: Sikubaliani na mambo ya utekaji, dada yangu alitekwa wakamchapa sana makofi

    “Kuhusu mambo ya utekaji, siyaungi mkono. Dada yangu ametekwa jana. Mimi napost post ya kwanza, wamesharuka ukuta. Wamemtia pingu dada yangu. Wamempiga vibao”
  15. S

    Kwahiyo dada yake Polepole katekwa?

    Hili ndio swali ninalojiuliza hasa baada ya kusoma maelezo ya Maria Sarungi kwenye mtandao wa X . Katika andiko lake kwa lugha ya kingereza zaidi ya muda wa lisaa limoja lililopita, amegusia kuwa dada yake Polepole ametekwa(abducted) Swali ni ametekwa au wavamizi wameishia tu kuruka ukuta na...
  16. Nauza Akili

    Wanameke miaka 18-24 ndio hao ndio bonge la dada zaidi ya hapo we ni mshangazi

    Wanameke miaka 18-24 ndio hao ndio bonge la dada zaidi ya hapo we ni mshangazi Nadhani imeeleweka,msitusumbue huku mtaani.
  17. W

    Mama yake na dada zake wanashirikiana amwache mke wake hadi kwenda kwa waganga kumroga, Hivi wanawake wapo timamu kweli ?

    Kuna mdau ni rafiki wa muda mrefu tangu tukiwa shule ya msingi. elimu ipo, roho safi na kwa bahati nzuri alipata connection kuajiriwa moja ya shirika kubwa, so yupo vizuri financially. Sasa tangu aoe hali imekuwa tete, nasema ni tete kwasababu sio kawaida mwanaume mwenzako kuja kukuomba...
  18. mdukuzi

    Nimetongoza dada wa saloon juzi,leo amenipiga mzinga na kunitumia lipa namba

    Hata wiki bado,mzigo wenyewe sijala,leo kanipiga mzinga wa 30,000 Cha ajabu amenitumia Lipa namba hapo nikajiuliza nalipia huduma ipi sasa. Nilitaka kumtumia hiyo hela ila kitendo cha kunitumia lipa number ya saloon kwake kina ukakasi
  19. Dennis Robert Shughuru

    Ukienda kwenye wall ya dada wa Taifa iliyopo Instagram utawashangaa watanzania wengi wanavyomlalamikia mtu anayeishi marekani

    Mimi natembelea wall yadada wa Taifa iliyopo instagram jambo ambalo linanifikirisha sana hivi wale watu ni wazima kweli wanompelekea malalamiko yao mtu anayeishi marekani hivi wanajitambua kweli mbona tun watu waajabu sana Jambo ambalo watanzania wanatakiwa wajue hatima ya nchi yao ipo mikononi...
  20. KENZY

    Huyu dada kanifedhehesha sana!

    Jana ameufanya uanaume wangu uwe mnyonge sana mbele yake!, na hapa sasahivi najiuliza huu ujasiri ni wakwake pekee ama kuna wengine pia mpo kama yeye!..? Ni mdada fulani hivi mweupe, figure no 8 huku nyuma baraka zipo na mbele pia zipo, kiufupi ni mzuri kama malaika!. Ikiwa ni mida ya saa mbili...
Back
Top Bottom