Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

Mallerina

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2023
Posts
2,934
Reaction score
7,049
View attachment 3609929View attachment 3609929maamuzi mengine kumpa mtu magumu....

Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia..
BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni
( kwanini azime )red flag sign


2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu lake hajaona ata mia...
( redflag)

3.leo kafungiwa mwanaume kaiba tv ya vitron🤣..mwanaume akipenda ata kuiba ataiba akuleteee
Kuna siku kaiba mchanga mgodini

4..dada ana mimba ....maisha yao ya kuunganisha ...dah

Wanaume sio watu ila sio wote

5..kamdanganya ni photographer mkubwa kumbe muuza ice tangu amekaa naye ata hajasuka ...

6.kamwambia atamtafutia kazi kumbe kaja kumpachika tikitiki🤰🏻.....

Hapa aleee mimba au atoe? Mimi sna uamuzi...
 
1002686701.jpg
 
Tamaa zinawafanya kuja kuwa single mother mnataka watu wa maisha bora au siyo kwaiyo muuza ice-cream siyo mtu mtu mpaka anafake life kwa tamaa zenu hayo ndo malipo nanipo namuombea kwa mungu akijalibu kutoa mimba mungu fanya miujiza nayeye atoke nayo afe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom