de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,614
- 21,150
Zamaradi..
Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu.
Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume..
Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia
Katika jamii ambayo wanawake wamekua kama silaha ya kuchapa mwanaume mtafutaji Nam appreciate zamaradi kwa kutuheshimisha na kutupa moyo.
Wanawake wenye wisdom namna hii ni rare kuwapata na ni treasure kwa taifa
Na kwa jinsi mambo yalivyo magumu watoto wa kiume wanapaswa wapambaniwe sana... Kuna watu kama kina anko T na wengine wengi mtaani
So zamaradi as always huwa akipost nasikiliza ni mwanamke aliyepevuka huta Kuta anaongelea sijui mme wangu Kani cheat, sijui wanaume ni Mbwa and all that..
Wanawake kuna la kujifunza kupitia huyu mwenzenu sio kila kukicha kutafta namna ya kuwaibia wanaume as how baba levo puts it
Ni hayo tuu, weekend njema
Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu.
Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume..
Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia
Katika jamii ambayo wanawake wamekua kama silaha ya kuchapa mwanaume mtafutaji Nam appreciate zamaradi kwa kutuheshimisha na kutupa moyo.
Wanawake wenye wisdom namna hii ni rare kuwapata na ni treasure kwa taifa
Na kwa jinsi mambo yalivyo magumu watoto wa kiume wanapaswa wapambaniwe sana... Kuna watu kama kina anko T na wengine wengi mtaani
So zamaradi as always huwa akipost nasikiliza ni mwanamke aliyepevuka huta Kuta anaongelea sijui mme wangu Kani cheat, sijui wanaume ni Mbwa and all that..
Wanawake kuna la kujifunza kupitia huyu mwenzenu sio kila kukicha kutafta namna ya kuwaibia wanaume as how baba levo puts it
Ni hayo tuu, weekend njema