TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 812
- 969
Taifa kubwa na lenye nguvu zaidi ulimwenguni, yaani USA linaendelea kuonyesha uwezo wake wa kimedani dhidhi ya janga la COVID-19. Jana kiranja mkuu wa Taifa hilo ametuma ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kuwa adui asiyeonekana atakabiliwa hivi karibuni:
Ujumbe huo umefuatiwa na habari iliyochapishwa katika mtandao machachari wa Bloomberg kuwa Trump amesema Marekani itaisaidia Italy na pia kuzuia na kuondosha kabisa taarifa za kipotoshaji zenye nia ovu za mataifa ya kishenzi ya China na Urusi. Trump ameendelea kusema kuwa msaada huo wa madawa, kijeshi na kikosi maalumu cha kupambana na janga la corona vilevile utaonyesha ubabe wa Marekani dhidi ya Mataifa ya China na Urusi na kudhihirisha waziwazi kuwa Marekani ndiye kiranja wa dunia:
“coming to the aid of Italy will help fight the Covid-19 outbreak and mitigate the impact of the crisis, while simultaneously demonstrating United States leadership in the face of Chinese and Russian disinformation campaigns, lessening the risk of re-infection from Europe into the United States, and maintaining critical supply chains,” he said. -- Bloomberg - Are you a robot?
Pamoja na kutambua mtafaruku unaoweza kuzuliwa na waafrika weusi wenye rangi tatu -- yaani rangi za kichina, kiarabu na kiajemi, ujumbe tayari upo hewani.
See some references
Ujumbe huo umefuatiwa na habari iliyochapishwa katika mtandao machachari wa Bloomberg kuwa Trump amesema Marekani itaisaidia Italy na pia kuzuia na kuondosha kabisa taarifa za kipotoshaji zenye nia ovu za mataifa ya kishenzi ya China na Urusi. Trump ameendelea kusema kuwa msaada huo wa madawa, kijeshi na kikosi maalumu cha kupambana na janga la corona vilevile utaonyesha ubabe wa Marekani dhidi ya Mataifa ya China na Urusi na kudhihirisha waziwazi kuwa Marekani ndiye kiranja wa dunia:
“coming to the aid of Italy will help fight the Covid-19 outbreak and mitigate the impact of the crisis, while simultaneously demonstrating United States leadership in the face of Chinese and Russian disinformation campaigns, lessening the risk of re-infection from Europe into the United States, and maintaining critical supply chains,” he said. -- Bloomberg - Are you a robot?
Pamoja na kutambua mtafaruku unaoweza kuzuliwa na waafrika weusi wenye rangi tatu -- yaani rangi za kichina, kiarabu na kiajemi, ujumbe tayari upo hewani.
See some references