Wakati huu wa kuelekea maridhiano ya kitaifa kwa siasa za Tanzania, CHADEMA tujitathimini pia, hasa kuhusu Mzee Halima na wenzake!
Ni kweli wapo bungeni kwa makosa, Mahera na nani sijui kwenye chama walifanya yao, lakini ni mbunge gani yupo pale kihalali?! Majaliwa au Ndugayi?
Najua maamuzi...