#COVID19 Dunia yashtuka msimamo wa Hayati Magufuli kuhusu COVID-19

kopites

JF-Expert Member
Jan 28, 2015
8,375
10,017
Dunia kwa sasa imeanza kuukubali msimamo wa aliekua Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli kuhusu ugonjwa wa corona na test kits zake.

Wazungu na utaalamu wao wote wanaanza kuukubali msimamo wa Aliekuwa kiongozi mmoja mweusi kutoka nchi ya Tanzania dhidi ya propaganda zilizo nyuma ya ugonjwa wa korona.

Magufuli alikuwa sahihi sana kuhusu kuhoji ubora wa vifaa vya upimaji wa korona, lockdown, nchi nyingi saivi wananchi wanaandamana wamechoka kufungiwa ndani, baadhi ya majimbo Marekani yameondoa kabisa zuio la lockdown kwa mfano jimbo la Texas, hata ndugu zetu Wakenya wanalia waachiwe huru, lockdown zimewachosha na hazina msaada wowote.

Baadhi ya nchi kama Sweden zimefanya tafiti kuvaa barakoa sio suluhisho la kuzuia korona.

Juzi mshauri wa masuala ya Magonjwa wa Uingereza kaishauri serikali yake wajifunze kuishi na corona bila mazuio yoyote.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe, Msimamo wa Magufuli ulikua sahihi 100% kuhusu corona, baadhi ya Watanzania wachache waliokua wanaupigia chapuo huu ugonjwa na kuukuza ndio waliokua wanawatengenea wananchi hofu zisizo za msingi.

Leo hii Dunia imeshtukia propaganda zilizopo nyuma ya huu ugonjwa unaoitwa covid-19, kitu ambacho Mwendazake alikijua mapema kabisa toka ulipoanza.


20210420_223514.jpg

2748358_Screenshot_20210421-065603_Gallery.jpg
 
Acheni longo longo MEKO kashavuta kazi iendelee bado tu mnaendeleza mapambio? Au mlilipwa in advance kwa mwaka mzima?
Tulia wewe hio taarifa imetolewa jana na Apexworld NEWS huko Uingereza haijatolewa na Ccm wala Polepole,kwani wao hawajui kua ameshakufa.

Kua na chuki na mtu kwa kiwango,watanzania tupunguze kujifanya tuna ujuaji na vihasira vya kijinga jinga.
 
Tulia wewe hio taarifa imetolewa jana na Apexworld NEWS huko Uingereza haijatolewa na Ccm wala Polepole,kwani wao hawajui kua ameshakufa.

Kua na chuki na mtu kwa kiwango,watanzania tupunguze kujifanya tuna ujuaji.

Hao Apex ni wapuuzi kama wewe tu,tushachoka na mapambio yenu ya kipuuzi,kama kumsifia pelekeni utumbo kwenye magroup yenu ya wasapu,sasa kazi iendelee ,kutwa MEKO MEKO legasi legasi my A$$.
 
Tulia wewe hio taarifa imetolewa jana na Apexworld NEWS huko Uingereza haijatolewa na Ccm wala Polepole,kwani wao hawajui kua ameshakufa.

Kua na chuki na mtu kwa kiwango,watanzania tupunguze kujifanya tuna ujuaji na vihasira vya kijinga jinga.
Achana nao hao wana stress za maisha wataishia kukutukana tu ! Good thing ni kwamba dunia imeanza kuelewa alichosimamia JPM, hawa vibaraka wa tumbo wala wasikuumize kichwa.
 
Mnajaza seva tu kwa issue za kipuuzi ,corona inatafuna watu nyie mnaleta upuuzi wenu humu kumsifu mtu sifa za kijinga bila kujua kwamba uviko ndio iliyomuondoa.
Mbona huvai barakoa? Mbona were hufi kwa corona?
Wengine wote waugue corona harafu wewe usiugue ? una nini zaidi ya hao ?kwa nini unaowalazimisha kuugua corona?
Nafikiri kama ulishuhudia msongamano wa kuaga mwili wa jemadari JPM unatakiwa kushuhudia maambukizo na vifo vingi vya corona kwa Leo hii.
Sema nani waliokufa hadi sasa?
 
Back
Top Bottom