Jeshi la Polisi Dar es Salaam linawashikilia mume na mkewe kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa COVID 19 (CORONA)

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,188
4,100
Jeshi la polisi kanda maaluum ya Dar es salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu Ugonjwa unaoenezwa na virusi vya korona.

Watuhumiwa hao ni Boniphac Elias Mwita umri miaka 29 mkazi wa Tabata na Rosemary Elias Mwita mke wa mshtakiwa wa kwanza umri ni miaka 41 nae ni mkazi wa Tabata.

Jeshi la polisi linasema kuwa mnamo tarehe 20/03/2020 majira ya saa saba mchana watuhumiwa hao wakiwa kwenye daladala yenye namba za usajili namba T.119 DKS wakitokea Tabata kuelekea hospitali ya Taifa Muhimbili walisambaza taarifa za uongo kuhusiana na habari za ugonjwa wa COVID19 maarufu kama korona.

Watuhumiwa hao walianza kukejeli huku wakitania kuwa serikali inapotosha wananchi kuwa kuna virusi vya korona na pia serikali haina fedha kwa ajili ya kulisha wanafunzi ndio maana shule na vyuo zimefungwa kwa kisingizio cha kuwepo kwa ugonjwa wa korona na kwamba serikali inafanya hivi kwa kwa ajili ya kuomba msaada wa fedha kutoka mataifa mbalimbali.

Jambo hili kulingana na hali halisi iliyopo nchini liliwakera abiria wengine na kuamua kuwaweka chini ya ulinzi watuhumiwa hao na kumwelekeza dereva apeleke gari kituoni, walipofika kituoni walikamatwa upya na ndipo wanapoendelea kushikilia mpaka hivi sasa. Ambapo jarada limeshaandaliwa na upelelezi wa kesi hiyo umeshakamilika na watuhumiwa watafikishwa mahakamani.

Jeshi la polisi linatoa rai na onyo kwa watanzania wengine ambao wanaleta mzaha na kejeli kwa ugonjwa huu ambao kimsingi unaangamiza watu duniani na Tanzania ikiwa ni sehemu ya dunia hiyo, lazima kila mmoja aendelee kupokea maagizo kutoka kwa viongozi na serikali. Maana si jambo la kuchukilia mzaha kwa kuwa ugonjwa huu unaendelea kuchua maisha ya watu, hivyo watu waendelee kufuata maelekezo ili tuweze kuepuka balaa hili.
 
 

Attachments

  • PRESS 27.03.2020 CORONA.docx
    41.1 KB · Views: 1
“Polisi wanawashikilia watuhumiwa wawili Boniphace Mwita na Mkewe Rosemary wakazi wa Tabata, DSM kwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu corona wakiwa kwenye daladala ambapo walianza kupotosha, kukejeli na kutania kwa kusema Serikali inapotosha Wananchi kwamba kuna corona”-Lazaro Mambosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM

“Mwita na Mkewe tunawashikilia kwakuwa wakiwa kwenye daladala walisema Serikali haina fedha kwa ajili ya kulisha wanafunzi ndio maana mashule na vyuo vimefungwa kwa kisingizio cha corona na wakadai Serikali inafanya hivyo ili kuomba msada kwa Mataifa mbalimbali”- MAMBOSASA

“Baada ya Mwita na Mkewe kusema Serikali inapotosha kuhusu corona na haina fedha ndio maana imefunga shule na vyuo kwa kisingizio cha corona, abiria ktk daladala iliwakera wakawaweka chini ya ulinzi wakamuamuru Dereva apeleke gari Polisi, tunao, tutawapeleka Mahakamani”-MAMBOSASA
#MillardAyoCORONATZ


MAWAZO YANGU

Polisi wangepambana na wanaosimamisha abiria na kufanya mpango wa usafiri wa dharura.
Hii habari ya kukamata wanaokejeli ni kukosa kazi kwa hali ya juu.
Screenshot_20200327-161010_Facebook~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la polisi kanda maaluum ya Dar es salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu Ugonjwa unaoenezwa na virusi vya korona.

Watuhumiwa hao ni Boniphac Elias Mwita umri miaka 29 mkazi wa Tabata na Rosemary Elias Mwita mke wa mshtakiwa wa kwanza umri ni miaka 41 nae ni mkazi wa Tabata.

Jeshi la polisi linasema kuwa mnamo tarehe 20/03/2020 majira ya saa saba mchana watuhumiwa hao wakiwa kwenye daladala yenye namba za usajili namba T.119 DKS wakitokea Tabata kuelekea hospitali ya Taifa Muhimbili walisambaza taarifa za uongo kuhusiana na habari za ugonjwa wa COVID19 maarufu kama korona.

Watuhumiwa hao walianza kukejeli huku wakitania kuwa serikali inapotosha wananchi kuwa kuna virusi vya korona na pia serikali haina fedha kwa ajili ya kulisha wanafunzi ndio maana shule na vyuo zimefungwa kwa kisingizio cha kuwepo kwa ugonjwa wa korona na kwamba serikali inafanya hivi kwa kwa ajili ya kuomba msaada wa fedha kutoka mataifa mbalimbali.

Jambo hili kulingana na hali halisi iliyopo nchini liliwakera abiria wengine na kuamua kuwaweka chini ya ulinzi watuhumiwa hao na kumwelekeza dereva apeleke gari kituoni, walipofika kituoni walikamatwa upya na ndipo wanapoendelea kushikilia mpaka hivi sasa. Ambapo jarada limeshaandaliwa na upelelezi wa kesi hiyo umeshakamilika na watuhumiwa watafikishwa mahakamani.

Jeshi la polisi linatoa rai na onyo kwa watanzania wengine ambao wanaleta mzaha na kejeli kwa ugonjwa huu ambao kimsingi unaangamiza watu duniani na Tanzania ikiwa ni sehemu ya dunia hiyo, lazima kila mmoja aendelee kupokea maagizo kutoka kwa viongozi na serikali. Maana si jambo la kuchukilia mzaha kwa kuwa ugonjwa huu unaendelea kuchua maisha ya watu, hivyo watu waendelee kufuata maelekezo ili tuweze kuepuka balaa hili.
 
View attachment 1400942
Yani unaona kabisa kuwa hio stori ni ya kutunga . Watanzania tunajijua kabisa .
Hivi mtanzania gani atasikia hayo maneno afu apelek gari polisi? Labda watanzani wapya hao wamekuja jana
 
Jeshi la polisi kanda maaluum ya Dar es salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu Ugonjwa unaoenezwa na virusi vya korona.

Watuhumiwa hao ni Boniphac Elias Mwita umri miaka 29 mkazi wa Tabata na Rosemary Elias Mwita mke wa mshtakiwa wa kwanza umri ni miaka 41 nae ni mkazi wa Tabata.

Jeshi la polisi linasema kuwa mnamo tarehe 20/03/2020 majira ya saa saba mchana watuhumiwa hao wakiwa kwenye daladala yenye namba za usajili namba T.119 DKS wakitokea Tabata kuelekea hospitali ya Taifa Muhimbili walisambaza taarifa za uongo kuhusiana na habari za ugonjwa wa COVID19 maarufu kama korona.

Watuhumiwa hao walianza kukejeli huku wakitania kuwa serikali inapotosha wananchi kuwa kuna virusi vya korona na pia serikali haina fedha kwa ajili ya kulisha wanafunzi ndio maana shule na vyuo zimefungwa kwa kisingizio cha kuwepo kwa ugonjwa wa korona na kwamba serikali inafanya hivi kwa kwa ajili ya kuomba msaada wa fedha kutoka mataifa mbalimbali.

Jambo hili kulingana na hali halisi iliyopo nchini liliwakera abiria wengine na kuamua kuwaweka chini ya ulinzi watuhumiwa hao na kumwelekeza dereva apeleke gari kituoni, walipofika kituoni walikamatwa upya na ndipo wanapoendelea kushikilia mpaka hivi sasa. Ambapo jarada limeshaandaliwa na upelelezi wa kesi hiyo umeshakamilika na watuhumiwa watafikishwa mahakamani.

Jeshi la polisi linatoa rai na onyo kwa watanzania wengine ambao wanaleta mzaha na kejeli kwa ugonjwa huu ambao kimsingi unaangamiza watu duniani na Tanzania ikiwa ni sehemu ya dunia hiyo, lazima kila mmoja aendelee kupokea maagizo kutoka kwa viongozi na serikali. Maana si jambo la kuchukilia mzaha kwa kuwa ugonjwa huu unaendelea kuchua maisha ya watu, hivyo watu waendelee kufuata maelekezo ili tuweze kuepuka balaa hili.
 
View attachment 1400942

Kweli pesa hakuna
Corona inataka kutumika kama chanzo cha mapato.









Halafu kuzoea zoea watu mwishoe mtakuja kuzoea majini
 
Back
Top Bottom