South Africa na Rwanda ndiyo mataifa pekee katika ukanda wetu yaliyodhamiria kwa dhati kabisa kuondokana na Corona.
This being once for all.
Ndani ya mwezi mmoja wenzetu hawa wakiwa huru kabisa bila ya kuwa na Corona au angalau kuwa na trend za wazi kuwa hali zao wamezidhibiti vilivyo, itakuwa si ajabu.
Siyo siri jamani mnyonge mnyongeni - they are enviable.
Nchi mbili hizi ambazo ziko katika ukanda wetu hazina mzaha hata kidogo na ugonjwa huu. Kama ilivyo kwa nchi zote ukanda wetu tunaoshirikiana kimikakati, wanaifahamu vyema:
1. kasi ya maambukizi ilivyokuwa kubwa.
2. kuwa inataka mgonjwa mmoja tu kuambukiza hata jamii nzima katika muda mfupi tu.
3. kuwa suluhu ya ugonjwa huu ni kwenye kuwafahamu wote walioambukizwa na kuchukua hatua stahiki.
4. kuwa inahitaji angalau siku 14 tu kuweza kumbaini mtu mwenye maambukizi.
Tofauti iliyopo ni kuwa wenzetu hawa wawili (tofauti na wengine) wameamua kuchukua hatua timilifu pasi ns kuchelewa zaidi.
Kongole kwao.
Katika kuhakikisha kuwa wagonjwa na walioambukizwa wote wanafahamika, Rwanda wamejiwekea siku 14 ambapo watu wote kabisa (kwa umoja wao) watasalia majumbani, wakiwabaini waathirika mmoja mmoja:
Covid-19: Rwanda Police Shoots 2 People Dead for Defying Lockdown
Kwa hakika ilikuwa sahihi kutambua hawa kuwa "hapo kazi tu!"
Afrika kusini wao tofauti kidogo, wananchi wanasalia (kabisa) majumbani kwa siku 21.
'Unprecedented': South Africa goes into coronavirus lockdown
Hawa nao ni sahihi kuwatambua kwa jitihada zao. Si haba wamejifunga vibwebwe, hadi mbivu na mbichi zifahamike.
Kweli penye nia pana njia.
Uganda, DRC na Kenya kwa hatua zao za nusu nusu walizo nazo, huu ugonjwa watakuwa nao bado kwa muda, japo itakuwa kwenye namna ambayo wataweza kuumudu.
Hawa bado ni kisebu sebu na kiroho papo.
Bado uchumi wanaukodolea macho. Wana mawazo ya kupata kote. Mwangata wawili moja humponyoka. Curfew zao hizi za muda muda siyo kwa Corona. Labda kama ingekuwa kwa al shabab.
BREAKING: Cabinet Tells Museveni to Shutdown Public Transport, Restrict Markets
Coronavirus: Positive cases remain 31 as curfew set to kick in
Coronavirus: SA records deaths, Kinshasa lockdown, cases up in East Africa | Africanews
Tanzania kwa hii ya kunawa nawa huku mikusanyiko kama ya masoko , ibada, usafiri wa umma, nk ikiendelea; kulikuwa hakuna hata haja ya kufikiria mambo uchaguzi mkuu.
Si vibaya kutambua hii hadithi za uchaguzi mkuu kwa sasa is a mere ploy. Pasipo na kupepesa macho - kwa ugonjwa huu na mikakati tuliyonayo hadi sasa, kwa hakika tumeyakalia mabomu hatari sana kuliko hata yale ya mbagala.
Maisha hayawezi kurudi kuwa ya kawaida kiasi cha kufikiria chaguzi bila ya kuwa na mkakati wa dhati wa kuiondosha Corona.
Hadi hapa tulipo Corona ingali iko huru ikipuyanga mitaani mwetu.
This being once for all.
Ndani ya mwezi mmoja wenzetu hawa wakiwa huru kabisa bila ya kuwa na Corona au angalau kuwa na trend za wazi kuwa hali zao wamezidhibiti vilivyo, itakuwa si ajabu.
Siyo siri jamani mnyonge mnyongeni - they are enviable.
Nchi mbili hizi ambazo ziko katika ukanda wetu hazina mzaha hata kidogo na ugonjwa huu. Kama ilivyo kwa nchi zote ukanda wetu tunaoshirikiana kimikakati, wanaifahamu vyema:
1. kasi ya maambukizi ilivyokuwa kubwa.
2. kuwa inataka mgonjwa mmoja tu kuambukiza hata jamii nzima katika muda mfupi tu.
3. kuwa suluhu ya ugonjwa huu ni kwenye kuwafahamu wote walioambukizwa na kuchukua hatua stahiki.
4. kuwa inahitaji angalau siku 14 tu kuweza kumbaini mtu mwenye maambukizi.
Tofauti iliyopo ni kuwa wenzetu hawa wawili (tofauti na wengine) wameamua kuchukua hatua timilifu pasi ns kuchelewa zaidi.
Kongole kwao.
Katika kuhakikisha kuwa wagonjwa na walioambukizwa wote wanafahamika, Rwanda wamejiwekea siku 14 ambapo watu wote kabisa (kwa umoja wao) watasalia majumbani, wakiwabaini waathirika mmoja mmoja:
Covid-19: Rwanda Police Shoots 2 People Dead for Defying Lockdown
Kwa hakika ilikuwa sahihi kutambua hawa kuwa "hapo kazi tu!"
Afrika kusini wao tofauti kidogo, wananchi wanasalia (kabisa) majumbani kwa siku 21.
'Unprecedented': South Africa goes into coronavirus lockdown
Hawa nao ni sahihi kuwatambua kwa jitihada zao. Si haba wamejifunga vibwebwe, hadi mbivu na mbichi zifahamike.
Kweli penye nia pana njia.
Uganda, DRC na Kenya kwa hatua zao za nusu nusu walizo nazo, huu ugonjwa watakuwa nao bado kwa muda, japo itakuwa kwenye namna ambayo wataweza kuumudu.
Hawa bado ni kisebu sebu na kiroho papo.
Bado uchumi wanaukodolea macho. Wana mawazo ya kupata kote. Mwangata wawili moja humponyoka. Curfew zao hizi za muda muda siyo kwa Corona. Labda kama ingekuwa kwa al shabab.
BREAKING: Cabinet Tells Museveni to Shutdown Public Transport, Restrict Markets
Coronavirus: Positive cases remain 31 as curfew set to kick in
Coronavirus: SA records deaths, Kinshasa lockdown, cases up in East Africa | Africanews
Tanzania kwa hii ya kunawa nawa huku mikusanyiko kama ya masoko , ibada, usafiri wa umma, nk ikiendelea; kulikuwa hakuna hata haja ya kufikiria mambo uchaguzi mkuu.
Si vibaya kutambua hii hadithi za uchaguzi mkuu kwa sasa is a mere ploy. Pasipo na kupepesa macho - kwa ugonjwa huu na mikakati tuliyonayo hadi sasa, kwa hakika tumeyakalia mabomu hatari sana kuliko hata yale ya mbagala.
Maisha hayawezi kurudi kuwa ya kawaida kiasi cha kufikiria chaguzi bila ya kuwa na mkakati wa dhati wa kuiondosha Corona.
Hadi hapa tulipo Corona ingali iko huru ikipuyanga mitaani mwetu.