Prof Gil Gil Ogutu, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi, amekutwa amefariki nyumbani kwake katika kijiji cha Wambasa kilichopo Bondo, Kaunti ya Siaya.
Taarifa zinsema kuwa mwili wa Muhadhiri huyo uligunduliwa na mfanyakazi wake siku ya jumapili muda wa saa tatu asubuhi ambaye aliukiuta mwili...