Said Mshana
Senior Member
- Jul 10, 2016
- 105
- 152
Habari za wakati huu wana Jukwaa wenzangu, mm mdogo wenu nilifanikiwa kuomba vyuo vinne na namshukuru mungu majibu yametoka nimechaguliwa vyuo vyote hivyo nimekuja hapa kuwaombeni mnipe ushaur wenu ni chuo gani na koz gan nzur niconfirm itakayonisaidia hapo baadae.
Vyuo na kozi hizo ni;
1. NIT kozi ya Marketing and Public Relation
2. UDSM-Main Campus kozi ya Bachelor Of Arts with Education
3. TIA-Dar Campus kozi ya Marketing and Public Relation
4. MOCU-Kozi ya Procument and supply Chain Management
Kozi zote na vyuo vyote ni vizuri na ninavipenda ndo mana nimeviomba hivyo ningeomba kutokana na hali halisi ilivyo naomben ushauri wenu wa chuo kipi niconfirm kabla ya tare 17/10/2020 ambayo ndio mwisho wa confirmation
NATANGULIZA SHUKRAN
Vyuo na kozi hizo ni;
1. NIT kozi ya Marketing and Public Relation
2. UDSM-Main Campus kozi ya Bachelor Of Arts with Education
3. TIA-Dar Campus kozi ya Marketing and Public Relation
4. MOCU-Kozi ya Procument and supply Chain Management
Kozi zote na vyuo vyote ni vizuri na ninavipenda ndo mana nimeviomba hivyo ningeomba kutokana na hali halisi ilivyo naomben ushauri wenu wa chuo kipi niconfirm kabla ya tare 17/10/2020 ambayo ndio mwisho wa confirmation
NATANGULIZA SHUKRAN