chuo

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi St Francis University College of health and allied Sciences

  2. Johnyy

    JamiiForums Tanzania Wadau wa Business, Chuo gani bora kati ya IAA na TIA?

    Wana JF vipi, Chuo gani bora kozi ya Accounts & Finance kati ya TIA na IAA (Arusha). Napata shida kuchagua. Maoni yenu yanahitajika.
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa Mwenyekiti wa Kijiji hadi kuwa Waziri na mwingine kutoka kuwa Mlinzi wa soko hadi kuwa Meya, hakika Chadema ni chuo cha uongozi

    Tunaposema kwamba CHADEMA ni chuo cha mafunzo ya uongozi hatudanganyi , Mwita Waitara aliyekuwa Mwenyekiti wa kijiji cha kivule Ukonga, leo hii ni naibu Waziri, huku mlinzi wa soko la Mabatini Mbeya ndugu Mwashilindi akaukwaa Umeya wa Jiji la Mbeya. Mlolongo wa waliotengenezwa na Chadema...
  4. Bishop Hiluka

    JamiiForums Tanzania Jumapili Februari 23, 2020 Waandishi wa Riwaya wenye Dira Tanzania (Uwaridi) watakutana na wasomaji wao katika Chuo cha Posta, Kijitonyama jijini Dar

    Imeandikwa na Hamisi Kibari wa gazeti la HabariLeo “HUYU ndiye Edi Ganzel uliyekuwa ukimuuliza sana,” aliniambia Mzee Barnabas Maro, akinitambulisha kwa mmoja wa watunzi mahiri wa riwaya kuwahi kutokea nchini. Wakati huo, mwaka 1998, Mzee Barnabas Maro, maarufu Kamba Ulaya, alikuwa mhariri wa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nembo ya Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam na maneno yaliyoko katika logo hiyo ni vitu vya kutazamwa upya kwani viko kisiasa zaidi kuliko kitaaluma

    Habari wakuu, Binafsi napenda kushauri viongozi wa Chuo hiki kuitazama upya nembo ya chuo kama kweli nembo hiyo inastahili kubaki kama ilivyo au ifanyiwe marekebisho madogo ili iwezeke kusadifu zaidi maswala ya academic kuliko ilivo sasa ambapo,kwa mtazamo wangu,inasadifu zaidi siasa za miaka...
  6. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzia: Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi Prof. Gilbert Ogutu akutwa amefariki nyumbani kwake

    Prof Gil Gil Ogutu, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi, amekutwa amefariki nyumbani kwake katika kijiji cha Wambasa kilichopo Bondo, Kaunti ya Siaya. Taarifa zinsema kuwa mwili wa Muhadhiri huyo uligunduliwa na mfanyakazi wake siku ya jumapili muda wa saa tatu asubuhi ambaye aliukiuta mwili...
  7. Johnyy

    JamiiForums Tanzania Chuo Hupambwa na elimu bora, mandhari, hadhi na Warembo. Je, ni Chuo gani chenye Warembo zaidi Tanzania?

    Hlw wana jf tena, Taaluma huenda kando na refreshment na chuo hupambwa na elimu bora, hadhi ya chuo(Status) na pia idadi ya warembo wanaomotivate masomo. kumekua na ubishi wa ushindani wa vyuo juu ya uwepo wa Warembo katika vyuo husika Tuondoe utata chuo gani kina Warembo wengi? Kama mada...
  8. Johnyy

    JamiiForums Tanzania Nimeshangazwa kusikia Chuo cha MUM (Muslim University of Morogoro) hakina weekend, hii imekaaje?

    Wana JF, Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free. Hii imekaa vipi kitaaluma?
  9. JAMBONIA LTD

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Chuo kinachotoa Clinical medicine-Evening program

    Habari wakuu! Nimeona baadhi ya vyuo wakitoa evening program kwa Diploma za Nurse course, hivi kuna chuo kinachotoa Clinical Medicine kwa Evening program pia?
  10. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Halafu unafika chuo kikuu unaanza kujimwambafy ''ni juhudi zangu''.

    Dogo akiwa amekamatwa na wenzake wakimrudisha shuoe baada ya kutoroka. tunafanikiwa katika maisha kwa juhudi za wengi hata wale tuliodhani wanatuaribia mipango yetu.
  11. Laliga

    JamiiForums Tanzania Usumbufu na ubabe Chuo Kikuu Mzumbe

    Habari zenu wakuu, Naomba nisiwe na maneno mengi sana, mimi ni mwanafunzi hapa Chuo Kikuu Mzumbe mwaka wa pili. Hapa chuoni kuna usumbufu na kero kubwa zinazo endelea dhidi ya wanafunzi, uongozi wa chuo naona umechoka na wanafanya kazi kwa mazoea na ubabe mkubwa. Kwa mfano, sasa hivi wamegoma...
  12. Johnyy

    JamiiForums Tanzania Chuo gani ni bora kwa Kozi ya Uhasibu kati ya TIA na CBE

    Wana JF chuo gani ni best kwa uhasibu kati ya TIA na CBE naomba tuongee na facts.
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi kutoka Kituo cha Ufundishaji Data cha Afrika Mashariki, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Ofisi ya Mwanasheria ya Serikali

    UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/154 11th February 2020 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam, Prof Ndomba hana uwezo wa kuiongoza Taasisi hiyo, abadilishwe

    Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam, Prof Ndomba, hana uwezo wa kuiongoza DIT kwa ufanisi na hivyo inapaswa abadilishwe. Sababu kuu za kutaka abadilishwe ni kama zifuatavyo: Hakubali kushaurika, hasikilizi na ni mbishi: Ukimshauri kama hapendi unachomshauri atakikataa hata haka hana...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu iwe ya mfumo wa 6+3+2+3, miaka 20 mtu kashahitimu chuo

    Amani iwe kwenu! Kwa mfumo wetu wa sasa wa elimu mwanafunzi anaanza darasa la kwanza akiwa na miaka 7, anasoma elimu ya msingi kwa miaka 7, akifaulu anaenda sekondari kwa miaka 4, akifaulu anasoma sekondari ya juu miaka 2 na akifaulu anaenda chuo miaka 3 (au zaidi kwa baadhi ya fani). Kwa...
  16. Mlolongo

    JamiiForums Tanzania Ni kweli mwanafunzi akisoma Shule binafsi hatapewa mkopo akifika chuo?

    Wakuu wangu wazuri nawabusu. Kuna mdogo wangu amemaliza Form Four Kisutu girls pale posta (Shule ya serikali) ana division two. Sasa kuna Uncle alimuahidi kuwa akipata ufaulu mzuri atamsomesha Advanced shule moja private ipo Tanga. Dogo anatarajia kusoma PCB (tuseme combination za science)...
  17. P

    JamiiForums Tanzania Hivi Division 4, kwa sasa inakidhi vigezo vya kusoma chuo under NACTE?

    Hivi Division 4, kwa sasa inakidhi vigezo vya kusoma chuo under NACTE? Naomba ufafanuzi.
  18. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

    Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo. --+ MWANAFUNZI MUYAGA TUNGU ANAYEDHANIWA KUPIGA PICHA ZA KUONYESHA TATIZO LA MAJI UDOM MIKONONI MWA POLISI...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Serikali itupie macho Chuo cha Ualimu Korogwe

    Kwa heshima na taadhima ni maombi yetu/yangu mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kwa mambo yanayoendelea hapa chuoni Korogwe kwani tangu Mkuu wa Chuo aliyekuwepo kupandishwa cheo, kumekuwa na hali ya taharuki upande wa chakula. Chakula hakieleweki kwani chakula kinachopikwa ni zaidi ya...
  20. Z

    JamiiForums Tanzania Selection ya Form 5 na chuo huwa ni mwezi gani?

    Habarini wadau, nina mdogo wangu amepata div I ya 14 pass ni kama zifuatazo: Civ - B Kiswa - B Hist - C Geo - C Engl - B Engl in Literature - C Phy - C Chem - B Bios - A Math - B Dogo hataki kwenda Form V, anataka kwenda chuo moja kwa moja kwa kozi za afya. Je yupo sahihi wadau au...
Back
Top Bottom