Tunaposema kwamba CHADEMA ni chuo cha mafunzo ya uongozi hatudanganyi , Mwita Waitara aliyekuwa Mwenyekiti wa kijiji cha kivule Ukonga, leo hii ni naibu Waziri, huku mlinzi wa soko la Mabatini Mbeya ndugu Mwashilindi akaukwaa Umeya wa Jiji la Mbeya.
Mlolongo wa waliotengenezwa na Chadema...
Imeandikwa na Hamisi Kibari wa gazeti la HabariLeo
“HUYU ndiye Edi Ganzel uliyekuwa ukimuuliza sana,” aliniambia Mzee Barnabas Maro, akinitambulisha kwa mmoja wa watunzi mahiri wa riwaya kuwahi kutokea nchini.
Wakati huo, mwaka 1998, Mzee Barnabas Maro, maarufu Kamba Ulaya, alikuwa mhariri wa...
Habari wakuu,
Binafsi napenda kushauri viongozi wa Chuo hiki kuitazama upya nembo ya chuo kama kweli nembo hiyo inastahili kubaki kama ilivyo au ifanyiwe marekebisho madogo ili iwezeke kusadifu zaidi maswala ya academic kuliko ilivo sasa ambapo,kwa mtazamo wangu,inasadifu zaidi siasa za miaka...
Prof Gil Gil Ogutu, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi, amekutwa amefariki nyumbani kwake katika kijiji cha Wambasa kilichopo Bondo, Kaunti ya Siaya.
Taarifa zinsema kuwa mwili wa Muhadhiri huyo uligunduliwa na mfanyakazi wake siku ya jumapili muda wa saa tatu asubuhi ambaye aliukiuta mwili...
Hlw wana jf tena,
Taaluma huenda kando na refreshment na chuo hupambwa na elimu bora, hadhi ya chuo(Status) na pia idadi ya warembo wanaomotivate masomo.
kumekua na ubishi wa ushindani wa vyuo juu ya uwepo wa Warembo katika vyuo husika Tuondoe utata chuo gani kina Warembo wengi?
Kama mada...
Wana JF,
Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free.
Hii imekaa vipi kitaaluma?
Habari wakuu! Nimeona baadhi ya vyuo wakitoa evening program kwa Diploma za Nurse course, hivi kuna chuo kinachotoa Clinical Medicine kwa Evening program pia?
Dogo akiwa amekamatwa na wenzake wakimrudisha shuoe baada ya kutoroka.
tunafanikiwa katika maisha kwa juhudi za wengi hata wale tuliodhani wanatuaribia mipango yetu.
Habari zenu wakuu,
Naomba nisiwe na maneno mengi sana, mimi ni mwanafunzi hapa Chuo Kikuu Mzumbe mwaka wa pili. Hapa chuoni kuna usumbufu na kero kubwa zinazo endelea dhidi ya wanafunzi, uongozi wa chuo naona umechoka na wanafanya kazi kwa mazoea na ubabe mkubwa. Kwa mfano, sasa hivi wamegoma...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/K/154
11th February 2020
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam, Prof Ndomba, hana uwezo wa kuiongoza DIT kwa ufanisi na hivyo inapaswa abadilishwe. Sababu kuu za kutaka abadilishwe ni kama zifuatavyo:
Hakubali kushaurika, hasikilizi na ni mbishi: Ukimshauri kama hapendi unachomshauri atakikataa hata haka hana...
Amani iwe kwenu!
Kwa mfumo wetu wa sasa wa elimu mwanafunzi anaanza darasa la kwanza akiwa na miaka 7, anasoma elimu ya msingi kwa miaka 7, akifaulu anaenda sekondari kwa miaka 4, akifaulu anasoma sekondari ya juu miaka 2 na akifaulu anaenda chuo miaka 3 (au zaidi kwa baadhi ya fani). Kwa...
Wakuu wangu wazuri nawabusu.
Kuna mdogo wangu amemaliza Form Four Kisutu girls pale posta (Shule ya serikali) ana division two.
Sasa kuna Uncle alimuahidi kuwa akipata ufaulu mzuri atamsomesha Advanced shule moja private ipo Tanga.
Dogo anatarajia kusoma PCB (tuseme combination za science)...
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo.
--+
MWANAFUNZI MUYAGA TUNGU ANAYEDHANIWA KUPIGA PICHA ZA KUONYESHA TATIZO LA MAJI UDOM MIKONONI MWA POLISI...
Kwa heshima na taadhima ni maombi yetu/yangu mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kwa mambo yanayoendelea hapa chuoni Korogwe kwani tangu Mkuu wa Chuo aliyekuwepo kupandishwa cheo, kumekuwa na hali ya taharuki upande wa chakula.
Chakula hakieleweki kwani chakula kinachopikwa ni zaidi ya...
Habarini wadau, nina mdogo wangu amepata div I ya 14 pass ni kama zifuatazo:
Civ - B
Kiswa - B
Hist - C
Geo - C
Engl - B
Engl in Literature - C
Phy - C
Chem - B
Bios - A
Math - B
Dogo hataki kwenda Form V, anataka kwenda chuo moja kwa moja kwa kozi za afya. Je yupo sahihi wadau au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.