Kiongozi anapohamasisha ongezeko la bei ya vyakula, anaelewa Madhara yake?

Masi Lambo

JF-Expert Member
Apr 8, 2020
532
360
Badala ya kupigania wananchi wasife njaa, Rais wetu anataka tupate tabu ya chakula na kununua kwa bei ya juu. Kasema,-

“Niwaombe wakulima, msiuze chakula kwa bei ya chini, mwaka huu na mwaka unaokuja si mzuri sana, sasa tutunze chakula, na kama tunaamua kuuza basi tuuze kwa bei ya juu sana, watwangeni sana” Rais Magufuli


Rais wa kweli anapigania wananchi wote wawe na maisha mazuri, wale vizuri, wavae vizuri, wawe na afya nzuri, lakini rais huyu anafanya kinyume cha yote na kuweka pesa za kodi mbele, kuanzia afya zetu mpaka makazi yetu, sababu bei ya juu ya chakula itatufanya tushindwe kulipa kodi za nyumba na matibabu hasa kwenye nchi isyopima korona.
 
Daaa ndugu yangu yy yuko sawa kushauri hivo ila kwa wafanyakazi hao wa serikali vibosire hawana tabu hata vyakula vipande bei

Shida iko kwa wale wa kuunga unga na kazi zile zenye ujira mdogo hapo sasa ndo mtihani

Kuna watu wamepoteza kazi kipindi hiki cha korona sasa huo mfumuko wa bei ya chakula watu tutatubuu

Tuendelee kusubiriiii
 
Daaa ndugu yangu yy yuko sawa kushauri hivo ila kwa wafanyakazi hao wa serikali vibosire hawana tabu hata vyakula vipande bei

Shida iko kwa wale wa kuunga unga na kazi zile zenye ujira mdogo hapo sasa ndo mtihani

Kuna watu wamepoteza kazi kipindi hiki cha korona sasa huo mfumuko wa bei ya chakula watu tutatubuu

Tuendelee kusubiriiii
Hakuna cha mfumuko wa bei
 
Duuh...hiyo kali. Watwangeni!!!? Kwa hiyo itakiwa huku mkong'oto kwenye sukari huku kwenye mahindi/unga. Chamoto tutakuona.
Badala ya kupigania wananchi wasife njaa, Rais wetu anataka tupate tabu ya chakula na kununua kwa bei ya juu. Kasema,-

“Niwaombe wakulima, msiuze chakula kwa bei ya chini, mwaka huu na mwaka unaokuja si mzuri sana, sasa tutunze chakula, na kama tunaamua kuuza basi tuuze kwa bei ya juu sana, watwangeni sana” Rais Magufuli
#IkuluChamwino

Rais wa kweli anapigania wananchi wote wawe na maisha mazuri, wale vizuri, wavae vizuri, wawe na afya nzuri, lakini rais huyu anafanya kinyume cha yote na kuweka pesa za kodi mbele, kuanzia afya zetu mpaka makazi yetu, sababu bei ya juu ya chakula itatufanya tushindwe kulipa kodi za nyumba na matibabu hasa kwenye nchi isyopima korona.
 
Kazi yenu kupotosha sikuiz imekua ya kijinga Sasa magufuli amesema wakipima wasiuze mazao Yao kwa hasara waangalie Bei wewe unakuja kumkosoa ivi unajua wakulima wanavyo nyonywa
Badala ya kupigania wananchi wasife njaa, Rais wetu anataka tupate tabu ya chakula na kununua kwa bei ya juu. Kasema,-

“Niwaombe wakulima, msiuze chakula kwa bei ya chini, mwaka huu na mwaka unaokuja si mzuri sana, sasa tutunze chakula, na kama tunaamua kuuza basi tuuze kwa bei ya juu sana, watwangeni sana” Rais Magufuli
#IkuluChamwino

Rais wa kweli anapigania wananchi wote wawe na maisha mazuri, wale vizuri, wavae vizuri, wawe na afya nzuri, lakini rais huyu anafanya kinyume cha yote na kuweka pesa za kodi mbele, kuanzia afya zetu mpaka makazi yetu, sababu bei ya juu ya chakula itatufanya tushindwe kulipa kodi za nyumba na matibabu hasa kwenye nchi isyopima korona.
 
Badala ya kupigania wananchi wasife njaa, Rais wetu anataka tupate tabu ya chakula na kununua kwa bei ya juu. Kasema,-

“Niwaombe wakulima, msiuze chakula kwa bei ya chini, mwaka huu na mwaka unaokuja si mzuri sana, sasa tutunze chakula, na kama tunaamua kuuza basi tuuze kwa bei ya juu sana, watwangeni sana” Rais Magufuli
#IkuluChamwino

Rais wa kweli anapigania wananchi wote wawe na maisha mazuri, wale vizuri, wavae vizuri, wawe na afya nzuri, lakini rais huyu anafanya kinyume cha yote na kuweka pesa za kodi mbele, kuanzia afya zetu mpaka makazi yetu, sababu bei ya juu ya chakula itatufanya tushindwe kulipa kodi za nyumba na matibabu hasa kwenye nchi isyopima korona.
Zaidi ya asilimia 75 ya watanzania ni wakulima Sasa huoni anawapigania watanzania wengi? Acha kukaa maskani na kucheza pool table ingia shambani ulime halafu uje ufungue Tena nyuzi nyengine
 
Back
Top Bottom