Kwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa...