Sio siri kwa sasa CHADEMA imechoka imechoka, imebaki inaendeshwa twitter na Hilda Newton na John Pambalu
Wanavizia Rais aseme kitu wadandie tumaneno twa kuchambua,
CHADEMA imekwisha ndugu zanguπππππ
Nawasihi CHADEMA mkae chini mjiulize kwanza mnakwama wapi, hawa akina Newton hawana hata uwezo wowote wa kuishawishi jamii
Kwa hali mliyonayo sasa kuiangusha CcM ni ndoto za mwendawazimu
Asanteni
Wanavizia Rais aseme kitu wadandie tumaneno twa kuchambua,
CHADEMA imekwisha ndugu zanguπππππ
Nawasihi CHADEMA mkae chini mjiulize kwanza mnakwama wapi, hawa akina Newton hawana hata uwezo wowote wa kuishawishi jamii
Kwa hali mliyonayo sasa kuiangusha CcM ni ndoto za mwendawazimu
Asanteni