Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kinachofanywa na dola kwasasa dhidi ya chadema kimevuka mipaka ya uvumilivu. Na ni Jambo linalojirudiarudia hii maana yake haya mambo yanapangwa na kuratibiwa makusudi.
Pengine system inafanya hivi ili kuichonganisha ccm na wananchi ili waiprovoke jamii halafu jamii ifanye Kama tahrir square ccm iondolewe bila kumwaga damu.
Just imagine system haiwezi kuasi Ila hiki kinachotokea kwa chadema kinaamsha hasira Sana kwa wananchi kwahiyo nadhani lengo ni kuifanya jamii yenyewe ifanye mabadiliko bila kutikisa mihimili ya kidola.
Chadema tunapaswa kuiona hii Kama fursa adhimu na si kulalamika .
Mpaka Sasa jamii yote ipo na chadema dhidi ya ccm inayotawala kimabavu.
Kama ndivyo Basi heko kwa system ya Tanzania. Lakini swali je chadema wanaiona hii fursa wanayotengenezewa na system?
Pengine system inafanya hivi ili kuichonganisha ccm na wananchi ili waiprovoke jamii halafu jamii ifanye Kama tahrir square ccm iondolewe bila kumwaga damu.
Just imagine system haiwezi kuasi Ila hiki kinachotokea kwa chadema kinaamsha hasira Sana kwa wananchi kwahiyo nadhani lengo ni kuifanya jamii yenyewe ifanye mabadiliko bila kutikisa mihimili ya kidola.
Chadema tunapaswa kuiona hii Kama fursa adhimu na si kulalamika .
Mpaka Sasa jamii yote ipo na chadema dhidi ya ccm inayotawala kimabavu.
Kama ndivyo Basi heko kwa system ya Tanzania. Lakini swali je chadema wanaiona hii fursa wanayotengenezewa na system?