THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,822
CUF na CHADEMA ni vyama viwili vya upinzani nchini vyenye uhai kias chake..
Kuondoka kwa Maalim Seif na Prof lipumba automatically CUF itakufa Natural Death..,
But on the contrary kwa CHADEMA haiko namna hiyo,japo Mbowe na Slaa wamefanya kazi kubwa sana kuisimamisha chadema,lakni kuondoka kwao wao katu kamwe hakuwezi kuifanya CHADEMA ikajifia,,
So,Mtatiro kutokubali kwako kujiunga na harakati za CHADEMA za kuwapokea Wabunge wote wa upinzan huku temeke eti kwa kigezo cha kusema ya kwamba ile ni kambi yenu na chadema wanataka kusafiria Nyota yenu ni kukosa ukomavu wa kisiasa na kuthibitisha kweli nyinyi ni CCM b..
Kuondoka kwa Maalim Seif na Prof lipumba automatically CUF itakufa Natural Death..,
But on the contrary kwa CHADEMA haiko namna hiyo,japo Mbowe na Slaa wamefanya kazi kubwa sana kuisimamisha chadema,lakni kuondoka kwao wao katu kamwe hakuwezi kuifanya CHADEMA ikajifia,,
So,Mtatiro kutokubali kwako kujiunga na harakati za CHADEMA za kuwapokea Wabunge wote wa upinzan huku temeke eti kwa kigezo cha kusema ya kwamba ile ni kambi yenu na chadema wanataka kusafiria Nyota yenu ni kukosa ukomavu wa kisiasa na kuthibitisha kweli nyinyi ni CCM b..