johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,785
Katiba ya JMT imekaa kifalme na mkuu wa nchi amepewa nguvu za kifalme na katiba kwamba yuko juu ya kila kitu.
Hata CCM ni chama kilicho katika mfumo kama wa dini kuna watu wanaamini katika CCM kuliko wanavyomwamini Mungu na hii hautaikuta katika vyama vya upinzani ambako wamejazana watafuta fursa na wapiga dili.
Kiufupi haitawezekana Chadema kuleta katiba mpya kwa sababu serikali haijaundwa na CCM bali iko ndani ya CCM.
Mungu ni mwema wakati wote!
Hata CCM ni chama kilicho katika mfumo kama wa dini kuna watu wanaamini katika CCM kuliko wanavyomwamini Mungu na hii hautaikuta katika vyama vya upinzani ambako wamejazana watafuta fursa na wapiga dili.
Kiufupi haitawezekana Chadema kuleta katiba mpya kwa sababu serikali haijaundwa na CCM bali iko ndani ya CCM.
Mungu ni mwema wakati wote!