Haki iliyocheleweshwa inamuumiza Mbowe

Ngaliwe

Senior Member
Dec 30, 2015
161
364
Wapenzi na mashabiki wa soka, wanajua ikitokea timu imeshinda huku timu pinzani ikicheza kwa kasi na kiu ya kubadili matokeo, delaying tactic hutumiwa na timu inayofaidika na matokeo ya wakati huo, na huwa kawaida mwamuzi hutoa adhabu kwa wanaochelewesha mchezo.

Ikitokea wachezaji wa timu iliyo nyuma kwa matokeo ndiyo inachelewesha muda inafikirisha sana.

Vivyo hivyo kwenye haki, wanasheria wana msemo wao, Justice delayed is Justice denied, yaani haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa. Maana yake katika uga wa sheria ni kwamba kama kuna fursa ya kumpa mtu haki yake wakati anaoihitaji, inatakiwa aipate wakati huo, linalowezekana leo lisingoje kesho, ukimpatia mtu huyo haki yake kesho wakati alitakiwa aipate leo, unakuwa umemnyima haki.

Mtuhumiwa wa kosa lolote aliyeko mahabusu hahitaji haki yoyote zaidiya shauri lake kuendeshwa kwa haki na kwa wakati ili haki yake iipatikane kwa wakati.

Kama ilivyo kwenye soka kwa timu iliyo nyuma kwa matokeo, mawakili wa utetezi wanategemewa kuwa watu wa kwanza kabisa kuhakikisha haki ya mteja wao inapatikana kwa wakati yaani kesi isikilizwe kwa wakati na kasi muafaka.

Inapotokea kama tunavyoshuhudia kwa kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, mawakili wa utetezi ndiyo wanakuwa kama wanachelewesha inafikirisha sana.

Mawakili wa utetezi wanapo apply delaying tactics inasumbua akili na kuibua maswali mengi kuliko majibu.

Kwanini kesho inacheleweshwa kwa technicality kutoka upande unaotarajiwa kuhimiza kesi isikilizwe kwa kasi?
  1. Ucheleweshaji huu unawapa manufaa gani watuhumiwa wanaosubiri kwa hamu haki yao itendeke?
  2. Ni matakwa ya wateja au ushauri wa mawakili?
  3. Kuna jambo lililojificha nyuma ucheleweshaji huu?
Katika haya yote tuache muda uendelee kuwa shahidi wa mshangao wa timu iliyofungwa kuchelewesha muda.
 
Wewe unaumia nini?au tuseme tayari ulikuwa na hukumu yako mfukoni?au tuseme unamwonea mbambikiwa huruma Sana?au.maoni yako tafadhali.
 
Wewe unaumia nini?au tuseme tayari ulikuwa na hukumu yako mfukoni?au tuseme unamwonea mbambikiwa huruma Sana?au.maoni yako tafadhali.
Nataka haki itendeke kwa Mbowe kama ilivyo kwa wanadamu wengine, Kama ni Gaidi ahukumiwe kwa makosa yake haraka akapumnzike segerea. Kuhairisha kesi kunakosababishwa na mawakili wake hakumuondolei makosa ila kunamuumiza jamani
 
Kuna mdau mmoja alisema, itungwe sheria ya serikali kumlipa fidia mtu pale inapotokea amedhulumiwa ama kucheleweshewa haki zake kwa makosa ya kubambikiwa ama kucheleweshwa kwa uchunguzi na mtuhumiwa akisota mahabusu kipind chote cha kesi na uchunguzi sio kamilika. Fidia hii ilipwe na serikali kwa mtuhumiwa pind anaposhinda kesi dhidi yake. Hii itapunguza kesi za makosa ya kubambikiwa, lakin itapunguza japo kidogo machungu ya dhulma mtu anayofanyiwa kwa kubambikiwa kesi. Ingawa tunajua sheria hii ngum kutungwa na kupitishwa na serikar yenyew inayifanya matendo hayo na serikal ndo inaongoza bunge maana hapana mwakilish wa wananch hata mmoja pale bungen.
 
Haki ni lazima ifuate mkondo sahihi wa sheria. Wewe unataka waende haraka bila kufuata taratibu kisha washindwe. Kama hujui sheria kama mimi kaa kwa kutulia subiri wenye taakuma zao wafanye kazi yao
Nataka haki itendeke kwa Mbowe kama ilivyo kwa wanadamu wengine, Kama ni Gaidi ahukumiwe kwa makosa yake haraka akapumnzike segerea. Kuhairisha kesi kunakosababishwa na mawakili wake hakumuondolei makosa ila kunamuumiza jamani
 
Wapenzi na mashabiki wa soka, wanajua ikitokea timu imeshinda huku timu pinzani ikicheza kwa kasi na kiu ya kubadili matokeo, delaying tactic hutumiwa na timu inayofaidika na matokeo ya wakati huo, na huwa kawaida mwamuzi hutoa adhabu kwa wanaochelewesha mchezo.

Ikitokea wachezaji wa timu iliyo nyuma kwa matokeo ndiyo inachelewesha muda inafikirisha sana.

Vivyo hivyo kwenye haki, wanasheria wana msemo wao, Justice delayed is Justice denied, yaani haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa. Maana yake katika uga wa sheria ni kwamba kama kuna fursa ya kumpa mtu haki yake wakati anaoihitaji, inatakiwa aipate wakati huo, linalowezekana leo lisingoje kesho, ukimpatia mtu huyo haki yake kesho wakati alitakiwa aipate leo, unakuwa umemnyima haki.

Mtuhumiwa wa kosa lolote aliyeko mahabusu hahitaji haki yoyote zaidiya shauri lake kuendeshwa kwa haki na kwa wakati ili haki yake iipatikane kwa wakati.

Kama ilivyo kwenye soka kwa timu iliyo nyuma kwa matokeo, mawakili wa utetezi wanategemewa kuwa watu wa kwanza kabisa kuhakikisha haki ya mteja wao inapatikana kwa wakati yaani kesi isikilizwe kwa wakati na kasi muafaka.

Inapotokea kama tunavyoshuhudia kwa kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, mawakili wa utetezi ndiyo wanakuwa kama wanachelewesha inafikirisha sana.

Mawakili wa utetezi wanapo apply delaying tactics inasumbua akili na kuibua maswali mengi kuliko majibu.

Kwanini kesho inacheleweshwa kwa technicality kutoka upande unaotarajiwa kuhimiza kesi isikilizwe kwa kasi?
  1. Ucheleweshaji huu unawapa manufaa gani watuhumiwa wanaosubiri kwa hamu haki yao itendeke?
  2. Ni matakwa ya wateja au ushauri wa mawakili?
  3. Kuna jambo lililojificha nyuma ucheleweshaji huu?
Katika haya yote tuache muda uendelee kuwa shahidi wa mshangao wa timu iliyofungwa kuchelewesha muda.
Mbona hujalaumu mshitaki kwa mashitaka ya kubambika, huoni mshiraki anamyima haki na Uhuru mshitakiwa kwa kumsingizia uongo?
 
Wapenzi na mashabiki wa soka, wanajua ikitokea timu imeshinda huku timu pinzani ikicheza kwa kasi na kiu ya kubadili matokeo, delaying tactic hutumiwa na timu inayofaidika na matokeo ya wakati huo, na huwa kawaida mwamuzi hutoa adhabu kwa wanaochelewesha mchezo.

Ikitokea wachezaji wa timu iliyo nyuma kwa matokeo ndiyo inachelewesha muda inafikirisha sana.

Vivyo hivyo kwenye haki, wanasheria wana msemo wao, Justice delayed is Justice denied, yaani haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa. Maana yake katika uga wa sheria ni kwamba kama kuna fursa ya kumpa mtu haki yake wakati anaoihitaji, inatakiwa aipate wakati huo, linalowezekana leo lisingoje kesho, ukimpatia mtu huyo haki yake kesho wakati alitakiwa aipate leo, unakuwa umemnyima haki.

Mtuhumiwa wa kosa lolote aliyeko mahabusu hahitaji haki yoyote zaidiya shauri lake kuendeshwa kwa haki na kwa wakati ili haki yake iipatikane kwa wakati.

Kama ilivyo kwenye soka kwa timu iliyo nyuma kwa matokeo, mawakili wa utetezi wanategemewa kuwa watu wa kwanza kabisa kuhakikisha haki ya mteja wao inapatikana kwa wakati yaani kesi isikilizwe kwa wakati na kasi muafaka.

Inapotokea kama tunavyoshuhudia kwa kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, mawakili wa utetezi ndiyo wanakuwa kama wanachelewesha inafikirisha sana.

Mawakili wa utetezi wanapo apply delaying tactics inasumbua akili na kuibua maswali mengi kuliko majibu.

Kwanini kesho inacheleweshwa kwa technicality kutoka upande unaotarajiwa kuhimiza kesi isikilizwe kwa kasi?
  1. Ucheleweshaji huu unawapa manufaa gani watuhumiwa wanaosubiri kwa hamu haki yao itendeke?
  2. Ni matakwa ya wateja au ushauri wa mawakili?
  3. Kuna jambo lililojificha nyuma ucheleweshaji huu?
Katika haya yote tuache muda uendelee kuwa shahidi wa mshangao wa timu iliyofungwa kuchelewesha muda.
Sheria haiko kama mpira wa miguu , mfano wako ni ndoto ya chini sana , Kingai kaleta ushahidi wa uongo , unataka aachwe tu ? uongo wa Kingai aliotumwa na Hangaya ukiachwa uchukuliwe kama ushahidi hautatenda haki
 
Suala si kesi kuhukumiwa haraka,Bali mawakili wa Mbowe wanataka kuimaliza kesi hi haraka Sana.

Kama maelezo ya watuhumiwa yalichukuliwa nje ya muda wa kisheria,maana yake kesi yote Haina msingi.
Kama maelezo ya watuhumiwa yalichukuliwa baada ya kupigwa na mateso makali na shurti za Kila aina maana yake kesi yote imenajis meika,hivyo jaji atatoa hukumu kwa kadri alivyo elekezwa.
 
Wapenzi na mashabiki wa soka, wanajua ikitokea timu imeshinda huku timu pinzani ikicheza kwa kasi na kiu ya kubadili matokeo, delaying tactic hutumiwa na timu inayofaidika na matokeo ya wakati huo, na huwa kawaida mwamuzi hutoa adhabu kwa wanaochelewesha mchezo.

Ikitokea wachezaji wa timu iliyo nyuma kwa matokeo ndiyo inachelewesha muda inafikirisha sana.

Vivyo hivyo kwenye haki, wanasheria wana msemo wao, Justice delayed is Justice denied, yaani haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa. Maana yake katika uga wa sheria ni kwamba kama kuna fursa ya kumpa mtu haki yake wakati anaoihitaji, inatakiwa aipate wakati huo, linalowezekana leo lisingoje kesho, ukimpatia mtu huyo haki yake kesho wakati alitakiwa aipate leo, unakuwa umemnyima haki.

Mtuhumiwa wa kosa lolote aliyeko mahabusu hahitaji haki yoyote zaidiya shauri lake kuendeshwa kwa haki na kwa wakati ili haki yake iipatikane kwa wakati.

Kama ilivyo kwenye soka kwa timu iliyo nyuma kwa matokeo, mawakili wa utetezi wanategemewa kuwa watu wa kwanza kabisa kuhakikisha haki ya mteja wao inapatikana kwa wakati yaani kesi isikilizwe kwa wakati na kasi muafaka.

Inapotokea kama tunavyoshuhudia kwa kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, mawakili wa utetezi ndiyo wanakuwa kama wanachelewesha inafikirisha sana.

Mawakili wa utetezi wanapo apply delaying tactics inasumbua akili na kuibua maswali mengi kuliko majibu.

Kwanini kesho inacheleweshwa kwa technicality kutoka upande unaotarajiwa kuhimiza kesi isikilizwe kwa kasi?
  1. Ucheleweshaji huu unawapa manufaa gani watuhumiwa wanaosubiri kwa hamu haki yao itendeke?
  2. Ni matakwa ya wateja au ushauri wa mawakili?
  3. Kuna jambo lililojificha nyuma ucheleweshaji huu?
Katika haya yote tuache muda uendelee kuwa shahidi wa mshangao wa timu iliyofungwa kuchelewesha muda.
Nchi imejaa dhuluma na matokeo yake tutayaona.
 
Back
Top Bottom