MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kamanda John Pambalu kwani umeambiwa kuwa ukiwa unaongea tu kwa Utaratibu, Umakini huku ukiwa Umetulia hasa katika Runinga ( Television ) Sisi hatuwezi Kukusikia na Kukuelewa?
Umeambiwa moja ya Sifa Kuu ya kuwa Kamanda wa CHADEMA na upate Umaarufu wa haraka ni Kuongea kwa Hasira, Kufoka, Kubisha na Kupiga Makelele tu?
Nakukubali mno kwa Madini ya maana uliyonayo na niseme tu japo Mimi ni mwana CCM ( wala sifichi ) huwa nakukubali sana kwani uko very Knowledgeable na unajua sana kufanya Research ili uje na Facts za Kutukosoa ( Kuikosoa ) CCM na tubadilike lakini kupiga Kwako Makelele hovgo kama Mbwa wa FFU Ukonga wakiwa wana Njaa kiukweli inakuharibia.
Ni Matumaini yangu kuwa utabadilika.
Umeambiwa moja ya Sifa Kuu ya kuwa Kamanda wa CHADEMA na upate Umaarufu wa haraka ni Kuongea kwa Hasira, Kufoka, Kubisha na Kupiga Makelele tu?
Nakukubali mno kwa Madini ya maana uliyonayo na niseme tu japo Mimi ni mwana CCM ( wala sifichi ) huwa nakukubali sana kwani uko very Knowledgeable na unajua sana kufanya Research ili uje na Facts za Kutukosoa ( Kuikosoa ) CCM na tubadilike lakini kupiga Kwako Makelele hovgo kama Mbwa wa FFU Ukonga wakiwa wana Njaa kiukweli inakuharibia.
Ni Matumaini yangu kuwa utabadilika.