chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. U

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Katiba Mpya, CHADEMA sio pekee wenye wananchi

    Kwa namna Mambo yanavyoenda, viongozi wa CHADEMA wanazidi kukosa njia sahihi za kushughulika na maswala badala yake wanaendelea kuzidisha uanaharakati hata pale harakati zisipohitajika Kwa watu makini wanafahamu kabisa jambo bora hutokana na fikra tulivu zisizo na purukushani wala marumbano...
  2. Page 94

    JamiiForums Tanzania Sekeseke la Katiba Mpya ilikuwa ni ajenda ya CHADEMA?

    Wasalaam Wakuu!. Leo CHADEMA walikuwa na jambo lao waliloliita KATIBA DAY ambapo viongozi wao wakuu wa Chama pamoja na wanachama wao mashuhuri walihudhuria katika kongamano hilo. Suala la Katiba mpya ni lenye umuhimu kwa maslahi mapana ya taifa letu.. Lakini, tujitafakari! Hii ilikuwa agenda...
  3. Leak

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

    Baada ya Rais kusema kuwa anataka apewe muda ili ajenge uchumi kwanza na mambo ya katiba na mikutano ya hadahara itafata baadae. Mh Mbowe leo amesema wazi kuwa hawatompa muda Rais samia na hawatakubali bali watafanya mikutano ya hadhara na watadai katiba kwa njia yeyote ile inayofaa na...
  4. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanafanya siasa za kimkakati sana, kila agenda yao lazima inasumbua mamlaka

    Tunafundishwa katika chumba kimoja toka shule ya msingi Hadi sekondari na vyuo. Katika maisha ya shule na vyuo watu wenye akili mara nyingi uwa na tabia yakuburuzwa kimaarifa na walimu au watu wengine. Ni watu wanaojua mema na mabaya, ni watu wamejaaliwa kuona mbele sana. Wengi uishia kufukuzwa...
  5. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mumuombe msamaha Yusuph Manji ama sivyo atawashtaki

    Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa. Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya. Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA acheni kelele zisizo na kichwa wala miguu. Mikutano ya siasa huzuia maendelzo, kuweni wapole

    Acheni kujichetua akili na kujifanya hamjui kitu. Mmesahau operation Sangara ilivyokuwa inasababisha watu wasifanye shughuli za maendeleo? Mmesahau yule kijana mmachinga wa Morogoro alivyouwawa sababu ya mikutano yenu? Kubalini ukweli tu mikutano ya siasa inasbabisha kuingilia rabiba za watu...
  7. Linguistic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kamati ya Uchaguzi ya TFF yapitisha Jina la Wallace Karia kuwa Mgombea pekee wa nafasi ya Urais

    Wallace Karia amekuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF kuwaengua Evans Mgeusa na Hawa Mninga kwa kukosa sifa. Karia anagombea nafasi hiyo kwa muhula wa pili. ====== Wallace Karia amepita kuwa Mgombea pekee...
  8. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

    "Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe
  9. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia suala la Mikutano ya Kisiasa ni la Kisheria. Huwezi kuomba na kujipa mwenyewe ulichoomba, bila kukubaliwa na wale uliowaomba

    Kumbe Rais Samia alikuwa na mkutano na kundi fulani la watu! Sikufuatilia aliongea nini, kwa sababu huwa napata taabu sana kufuatilia mikutano ya Wanasiasa iwe wa chama tawala au upinzani. Hata hivyo, kupitia mijadala mbalimbali nikagundua nikakutana na hoja za SSH "hataki" mikutano ya vyama...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Corona na kusuasua kwa uchumi ndio kikwazo cha kuruhusu mikutano ya kisiasa, CHADEMA kuweni waelewa

    Kwa sasa mkazo unawekwa katika kudhibiti wimbi la tatu la covid 19 pamoja na kuimarisha hali ya uchumi wetu ikiwemo kuwarejesha wawekezaji waliotukimbia. Kuruhusu mikutano ya kisiasa na ile ya Katiba Mpya kutarudisha nyuma jitihada hizi kwani Tanzania siyo kisiwa. Rais Samia yuko sahihi...
  11. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wana hoja gani kwa sasa?

    Niko najaribu kuhusianisha mafanikio ya Mama na uwepo wa hoja za kimaendeleo kutoka vyama pingapinga hususani CHADEMA. Miaka mitano iliyopita wapinzani walinyanyaswa sana, walipewa kesi za uongo, walifungwa jela pia mali zao zilitaifishwa. Wapinzani hao hawakuruhusiwa kufanya siasa, kila...
  12. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnatuchanganya. Tunataka Katiba inayosimamia haki na sio Katiba Mpya. Kamwe Katiba hiyo haiwezi kutengenezwa na Wanasiasa

    Kitu wapinzani wanachofeli ni kuongozwa na hasira na ushindani na kupigania maslahi binafsi ya kisiasa hivyo kukosa logic na plan nzuri kufanikisha mipango yao. Jakaya Kikwete alianzisha mchakato wa Katiba mpya Ila mchakato mzima katika mazingira hayo ulitawaliwa na wanasiasa. Bunge lilijaa...
  13. Q

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

    Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya. Mpaluka Mdude Nyagali alikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin gramu 23.4 mwaka 2020. Mdude...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa. Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani...
  15. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Naungana na CHADEMA kwenye suala la kuitafuta Katiba Mpya, wakati wa Katiba Mpya ni sasa

    Hata kama CHADEMA wanaitaka Katiba mpya ili waweze kushiriki uchaguzi wenye ushindani halali bado katiba mpya ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Katiba ya sasa ina mapungufu mengi sana. Kwanza swala la elimu halikuzingatiwa kabisa katika kuwapata viongozi mbalimbali. Dunia ya sasa...
  16. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Tuwapuuze CHADEMA na suala la Katiba mpya, wana ajenda ya siri

    Nawasalimu katika jina la Chama cha Mapinduzi. Kwa pamoja mjibu Chama kiendelee. Nimeona leo niweke hili suala la katiba sawa ili kusaidia wajinga wengi wasioelewa na kuishia kuchotwa kijinga na Chama Cha Mbowe (CHADEMA). Siku za hivi karibuni kumekuwa na kuhamasishana huko upande wa upinzani...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Usajili CHADEMA Digital wapatikana nchi nzima, vibanda vya kusajili vyasambazwa

    Hii ndio taarifa mpya kwenda kwa Watanzania, ukitaka kadi ya kidigitali ya CHADEMA, ambacho ni miongoni mwa vyama vichache vya kisiasa vya kisasa zaidi barani Afrika kwa sasa, huna haja ya kulipa nauli hadi kwenye miji mikubwa ili kupata huduma hiyo. Huduma imesambazwa kila mahali hadi vijijini...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM kuwalegezea CHADEMA ili ionekane tuna misingi ya Demokrasia ni kukengeuka

    Narudia kusema kama kuna Chama ambacho hakifai hapa Tanzania basi ni CHADEMA. Kimejaa wanasiasa wanafiki na wasaka matumbo. Leo hii Chadema wanalegezewa na CCM ili ionekane Mama Samia ni mpenda haki na Demokrasia? Huu ni unafiki wa hali ya juu. Tumesahau harakati zao za chini ya kapeti...
  19. J

    JamiiForums Tanzania CCM ina nguvu lakini CHADEMA ina maarifa; watawala wanapaswa kuwa makini

    Kimsingi kwa mfumo wetu wa siasa Serikali ndio CCM yenyewe hivyo nguvu ya serikali ndio nguvu ya CCM. Lakini CHADEMA wanaonekana kuwa na maarifa zaidi hasa baada ya sakata la Sabaya na sasa hili la kesi la viongozi 7 akiwemo DC Mashinji wa CCM. Kiufupi CCM wanapaswa kuwa makini zaidi kabla...
  20. comte

    JamiiForums Tanzania Mitandao na CHADEMA 0 vs Spika 2 mechi inaendelea

    CHADEMA na wanaharakati wanamdharau na kupuuza ushauri wa Spika. 1. kwenye suala la akina Mh. Mdee kawashauri nini cha kufanya mnampuuuza nao wanaendelea kubaki bungeni GOOAL. 2. kwenye suala la Mh. Lissu kawashauri nini cha kufanya mkampuuza sasa mnaleta oh Lissu analipwa matilioni- kawambia...
Back
Top Bottom