Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Paragraph 24 ya Act no 3 2016 makosa yote ya ugaidi yanachukuliwa kama economic offences. Ndio maana mahakama ya kuu divison ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi ina mamlaka ya kusikiliza makosa ya ugaidi.
Kibatala alikurupuka kuweka pingamizi ambazo hazina mashiko ya kisheria kudai kuwa division ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi haina mamlaka.
Kueneza maneno kuwa Jaji Luvanda ni mwamuzi wa kimkakati ili kufanya kazi maalumu sio jambo jema na sio ustaarabu. Maana kila kitu kipo wazi kisheria.
Tuache mahakama itende haki.
Kibatala alikurupuka kuweka pingamizi ambazo hazina mashiko ya kisheria kudai kuwa division ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi haina mamlaka.
Kueneza maneno kuwa Jaji Luvanda ni mwamuzi wa kimkakati ili kufanya kazi maalumu sio jambo jema na sio ustaarabu. Maana kila kitu kipo wazi kisheria.
Tuache mahakama itende haki.