ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. malisoka

    JamiiForums Tanzania Hivi ikitokea CCM kwa hila wakanunua wapinzani wote nini kitatokea?

    Ni kweli wanaweza na wameisha nunua zaidi ya nusu ya viongozi wapinzani wa Chadema, CUF, ACT nk. Na bado wanaendelea kununua na kushawishi kwa nguvu na vitisho. Nimejiuliza tu Ikitokea wakawapata au kuwanyamazisha wapinzania wote na kuchukua majimbo yote muhimu waliyokuwa ya Upinzania au...
  2. N

    JamiiForums Tanzania VIDEO:Aibu ya CCM mpya, Wachina waingilia siasa zetu wakilindwa na Polisi

    Embu angalia mchina jamani anashiriki siasa za nchi kisa anaimba nyimbo ya kumsifu mfalme, aisee halafu ukiangalia nyuma kuna polisi kabisa analinda eti usalama. Yaani msajili wa vyama yupo tu,jenga picha hii ingekuwa ni chadema maana kwenye mkutano wa cdm wale mabalozi wa abroda kualikwa tu...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Polisi wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara

    Polisi wakihakikisha Usalama wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Je, inawezekana kwa Katibu Mkuu wa chama cha upinzani mathalani CHADEMA, John Mnyika kusindikizwa hivi?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

    Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia. Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga. Hizi lugha za kihuni...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka CCM. Mrema, Sumaye na Lowassa wameshindwa. Je, kuna mwingine?

    Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa Upinzani wa kweli na mpinzani wa kweli atatoka ndani ya CCM na kwamba bila CCM madhubuti nchi yetu itayumba. Alikuwepo Lyatonga Mrema, akaja Lowassa na Sumaye lakini upinzani bado ni shaghala bagala yaani tia maji tia maji. Hivi hii...
  6. chiembe

    JamiiForums Tanzania Ili kundoa usumbufu kwa serikali na CCM, Wizara ya elimu iagizwe kuondoa topiki zinazomfanya mwanafunzi kuwa mchambuzi,masomo ya kuchagua A au B muhim

    Nimetafakari sana na kugundua kumbe ccm hii shida tunayoipata tumeitengeneza wenyewe tangu enzi za mwalimu Nyerere Kipindi cha mzee Nyerere,masomo mengi ya kuhoji mifumo yalifundishwa, na haya ndio shida kubwa kwetu Awamu ya mzee Mwinyi na Mkapa,Benki ya Dunia na mashirika ya kimataifa...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Huko tuendako kuna tufani linakuja! Hii siasa ya CCM Mpya ya akina Bashiru Ali na Polepole ni dalili tu!

    Kwa mtu makini na mwenye uelewa mpana wa siasa au wale wana CCM makini na wenye upeo mkubwa hawawezi kukubali kuwa huku kuhamia kwa wapinzani kwa maana ya Wabunge na Madiwani ni ishara ya kukubalika kwa CCM au kuboreka kwa sera zake, la hasha! Kuna kitu hapa kinasukwa kwa ustadi na " gharama"...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kuwa watetezi wa CCM mitandaoni waliokuwa kwenye mgomo?

    Kuna ukweli kuwa wale watetezi wa CCM mitandaoni waliokuwa kwenye kamgomo ka kudai kutambulika na kulipwa vizuri kwani nguvu wanaoitumia humu JF na kwingineko haikufanana na buku saba waliokuwa wakilipwa? Kwa ushahidi mdogo tu, ona kina Kawe Alumni et al walivyoibuka Leo baada ya Ile training...
  9. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Wanaorejea ndani ya CCM kutoka Upinzani watakiwa kutoleta makundi ndani ya Chama hicho

    KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amewataka wanachama ambao walikihama chama hicho na hivi sasa wameamua kurejea wasiwe chanzo cha kuanzisha makundi ndani ya chama. KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, picha mtandao Amewataka wanachama wa CCM...
  10. Superbug

    JamiiForums Tanzania Mliohamia CCM kuunga mkono juhudi kifupi mmeenda kuunga mkono yaliyompata Lissu, Azory na Saanane

    Ni Jambo lisilopingika kwamba kupotea na masahibu yaliyowapata hao watajwa hapo juu yana mafungamano ya moja kwa moja na utawala wa awamu ya tano. Tunalazimika kuamini hivi kwasababu ya mazingira yaliyotokea kabla na baada ya madhila walioyapata na mbaya zaidi kwakuwa serikali haijatoa...
  11. Superbug

    JamiiForums Tanzania Waliohamia CCM kutoka upinzani watazeeka kwa aibu sana muongo ujao

    Ni jambo la kusikitika sana, ukitafakari siasa za Tanzania. Kitendo cha wanasiasa walioaminika na wananchi kwa kupigiwa kura kuhamia CCM kwasababu za kipumbavu kama wanazotoa ni jambo litakalohojiwa sana na vizazi vijavyo. Nadiriki kusema miaka kumi ijayo hawa WALIOHAMIA CCM watakuwa wazee ila...
  12. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Simple equation inayoitesa CCM na Taifa

    Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo...
  13. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Hakuna haja ya kuchagua wapinzani maana wananunulika kama bidhaa za Madukani 2020 ni kuchagua CCM tu kwa 100%

    Kama wananchi wanawachagua wapinzani hafu hao wapinzani wanafika bei kwa nini nichague mtu anayefika bei kirahisi Mtanzania mwenzangu huu mwaka 2020 Tusirudie kosa tuichagueni CCM kwa 100%
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

    Heshima kwenu wakuu, Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU leo siku ya Ijumaa saa 7:00 mchana PCCB House Upanga, ataongea na vyombo vya habari. Tutatoa updates kwa kila kinachojiri. ==== UPDATES: Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Takukuru akizungumza...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa viti maalum kule CHADEMA hawana hamu ya kuhamia CCM?

    Sijasikia mbunge yoyote wa viti maalum kutoka CHADEMA au CUF aliyehamia CCM, ndipo sasa najiuliza why? Yawezekana sijafuatilia vizuri, mwenye pingamizi Tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
  16. Boniphace Kichonge

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

    Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wabunge waliohamia CCM kwa kujiuza au kwa hiyari yao njia panda , Mikataba ya ununuzi mwisho octoba 2020

    Kwa mujibu wa mikataba waliyoandikiana ni kwamba uchaguzi ujao hawatabebwa , bali wanapaswa kupigania roho zao wenyewe kwa kupitia kura za maoni ambazo ndio utaratibu wa halali . Hofu iliyopo ni kwamba watapitishwa na nani kwenye chama ambacho hawana mizizi hata ya size ndogo kama Caroti ama...
  18. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

    Wanabodi, Kwanza angalieni hii picha More than 60% of Rwanda’s parliamentarians are women. Photo: Sam Ngendahimana Nimesoma kwenye Ripoti ya WB, Bunge la Rwanda ndilo Bunge linaloongoza Dunia kwa gender equality baada ya kuwa na asilimia kubwa ya wabunge wanawake kuliko wanaume, wakati Bara...
  19. K

    JamiiForums Tanzania CCM msiishie kujitwisha zigo la Mwenyekiti Taifa , Mwambieni asirudie tena

    Ilisikika sauti ya huzuni " Tumechafuka sana, chama kinaugulia majeraha ya uchaguzi wa 2015, na athari za mwenendo wa maamuzi usioridhisha wa Mwenyekiti kwa nafasi yake, majeraha yamezidi na sasa tuchukue hatua kuwarejesha kundini wote bila kujali lawama, Lazima intrest iwe moja ya kukinusuru...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli CCM inaiba kura au ni visingizio vya upinzani?

    Kwanza kabisa binafsi Sina mapenzi na chama chochote cha siasa Tanzania ila ni mpenzi wa siasa Safi.Tuje kwa hoja niliyouliza hapo juu Kama nikwel wapinzani wanaibiwa kura au Tume ya uchaguzi haitendi haki haya maswali nimejiuliza Mbowe ameshindaje ubunge wa hai na pia chadema kachukua kata...
Back
Top Bottom