Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,813
Nape Nnauye yuko msibani na anaongelea uhusiano wake na Mkapa, amesema alianzia U-DC wilaya ya Masasi, nyumbani kwa Mkapa na alimpika vizuri sana kisiasa na utendaji.
Aliingia kamati kuu 2002 Mkapa akiwa mwenyekiti na kusema alikuwa na misimamo katika kuongoza vikao vya chama.
Mwisho anasema kuna kipindi makombora yalikuwa mengi sana na alikata tamaa. Mkapa akamuita Mvomero, alikuwa na mashamba yake huko na kumwambia asithubutu kutoka CCM, makombora yatapita.
Aliingia kamati kuu 2002 Mkapa akiwa mwenyekiti na kusema alikuwa na misimamo katika kuongoza vikao vya chama.
Mwisho anasema kuna kipindi makombora yalikuwa mengi sana na alikata tamaa. Mkapa akamuita Mvomero, alikuwa na mashamba yake huko na kumwambia asithubutu kutoka CCM, makombora yatapita.