Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Akiongea leo na UVCCM eneo la Bunda mkoani Mara, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara Ndugu Samwel Kiboye ALMAARUFU kama namba Tatu, amsema kwamba, "Mtu yeyote msaliti hawezi kuaminika. Huyo mtu kuna siku atakusaliti na wewe akipata mwenye dau kubwa, wauza nafsi zao, na watoa rushwa ndani ya CCM hawana nafasi. Tutapitia mchakato mzima, na hapa mkoani Mara tuna taarifa za waliotoa rushwa. Tutawakata. Narudia, TUTAWAKATA. wasijidanganye kwamba wana vyeo. hivyo vyeo ni via chama dola CCM, na CCM imekataa Rushwa"
Nadhani jiwe limerushwa gizani. Kuna watu litawapata
Nadhani jiwe limerushwa gizani. Kuna watu litawapata