Kuna mtia nia mmoja ni Darasa la Saba ,ana tamaa sana ya madaraka na hatosheki. Alikuwa CHADEMA baadaye akawasaliti na kurudi CCM ili agombee tena ubunge. Anautafuta ubunge muda mrefu sana na hata hatujui ajenda yake hasa ni ipi.
Amewekeza pesa nyingi sababu yeye ni tajiri kwa kutoa vizawadi vya TV kila kijiji na kuhonga wajumbe ili wamchague.
Na kwa kweli amefanikiwa kumshinda hata Mbunge anayemaliza muda wake ambaye nae inasemekana anatuhumiwa kutoa rushwa kwa wajumbe.
Kuna tetesi kuwa wawili hao wamekuwa wakitambiana kuwa kila mmoja ana pesa kuliko mwenzie.
Kinachonikera ni huyo tajiri mmoja kuanza kununua watu kwenye mitandao na kuanzisha mada za kumsifia eti yeye darasa la saba kawashinda wasomi.
Hiyo ni fallacial argument na anatafuta appeal for pitty kwa jamii imuonee huruma yeye darasa la saba dhidi ya wasomi ili kamati kuu irufishe jina lake.
Ukweli ni kuwa washindi wote hao wananuka rushwa na endapo mmoja atapitishwa watakigawa chama.
Ushauri wangu kwa CCM, ni kuwapiga chini wote na kutafuta vijana smart na wazalendo ambao hawakutoa pesa wakaambulia kura moja au mbili.
Muda wa kuwa na wabunge darasa la saba umeisha. Wawekeze tu kwenye miradi yao.
Tanzania inahitaji kuwekeza kwa vijana wazawa hasa wenye shule ambao watachunguzwa vizuri tabia na uzalendo wao kabla ya kupelekwa bungeni.
Napendekeza vijana wengi wakipelekwa bungeni hata mishahara yao na posho pia ipunguzwe sababu hawatakuwa na mambo mengi
Amewekeza pesa nyingi sababu yeye ni tajiri kwa kutoa vizawadi vya TV kila kijiji na kuhonga wajumbe ili wamchague.
Na kwa kweli amefanikiwa kumshinda hata Mbunge anayemaliza muda wake ambaye nae inasemekana anatuhumiwa kutoa rushwa kwa wajumbe.
Kuna tetesi kuwa wawili hao wamekuwa wakitambiana kuwa kila mmoja ana pesa kuliko mwenzie.
Kinachonikera ni huyo tajiri mmoja kuanza kununua watu kwenye mitandao na kuanzisha mada za kumsifia eti yeye darasa la saba kawashinda wasomi.
Hiyo ni fallacial argument na anatafuta appeal for pitty kwa jamii imuonee huruma yeye darasa la saba dhidi ya wasomi ili kamati kuu irufishe jina lake.
Ukweli ni kuwa washindi wote hao wananuka rushwa na endapo mmoja atapitishwa watakigawa chama.
Ushauri wangu kwa CCM, ni kuwapiga chini wote na kutafuta vijana smart na wazalendo ambao hawakutoa pesa wakaambulia kura moja au mbili.
Muda wa kuwa na wabunge darasa la saba umeisha. Wawekeze tu kwenye miradi yao.
Tanzania inahitaji kuwekeza kwa vijana wazawa hasa wenye shule ambao watachunguzwa vizuri tabia na uzalendo wao kabla ya kupelekwa bungeni.
Napendekeza vijana wengi wakipelekwa bungeni hata mishahara yao na posho pia ipunguzwe sababu hawatakuwa na mambo mengi