Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Nauliza hili swali kwa wale wamiliki wa chama ambacho kimejaa husuda dhidi ya taifa letu.
Maana hapo awali walikuwa wakisema tunahitaji tupate rais ambae ni mzalendo na mchapa kazi.
Sasa Mungu amesaidia JPM amepatikana na kwa uzalendo na ushujaa amedhibiti rushwa na ubadhirifu.
Kwa uzalendo na...
Asalam aleykum JFs
Hivyo ndivyo tunaweza kusema kuwa pumzi sasa ndani ya ccm na serikali yake imekata. Iko tayari kukubali yaishe. Katika moja ya habari inayosambaa mitandaoni kupitia Tv online ya Dar Mpya inaonesha katibu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akiongea na waandishi wa habari...
Uwepo wa upinzani katika mfumo wa kisiasa kuna faida na hasara zake.
Moja ya faida ni ile ya kuusingizia upinzani kila wakati mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo.
Hata kwenye dini pasingekuwepo shetani basi sifa na shutuma zote zingekuwa zinapelekwa kwa Mungu lakini sasa uovu huelekezwa kwa...
Kuna baadhi ya mambo mnafanya hayaendani kabisa na mantiki ya taasisi imara amabyo imeundwa kwa misingi inayoeleweka.
Hii kila wiki kamati kuu imekutana na kutoa tamko haileti maana zaidi inaonekana ni kama vile mawazo ya mtu mmoja sasa akitaka kuyahalisha ndio inaitwa kamati kuu zinapogwa blah...
Siasa na Utawala
Profesa Rwekaza Sympho Mukandala anazungumzia kigezo muhimu na kikubwa cha siasa na uongozi na kubaki madarakani kwa muda muafaka, Ni je wananchi wanafuraha?
Prof. Mukandala anasema haitoshi baba wa nyumba kuleta nyama, samaki na chakula kila siku nyumbani lakini familia...
Nakupa tu angalizo kama wewe ni mgeni siasa.
Ukiyasoma vizuri malengo ya Chadema na katiba yake huwezi kumkosoa Mbowe maana havunji taratibu yoyote ndani ya chama.
Tatizo vijana wengi huvamia siasa za vyama bila kujua malengo ya chama husika.
Kwa mfano CCM iliasisiwa ili kuwatumikia Wakulima...
Wahenga walishasema asiyekubali kushindwa si mshindani. Ila kukubali kushindwa hata kabla mtanange haujapigwa ni ishara mbaya sana.
Chadema kama chama kikuu cha upinzani sasa kinaonyesha dalili zote kuwa kimenyoosha mikono juu. Kama ni vitani sasa wameka silaha chini na wameshakuwa mateka...
Ukweli ndio huo na sababu kuu ni kuwa nguvu ya upinzani ni matokeoa ya CCM na serikali zake kuwaangusha watanzania tofauti na ahadi zao kwenye kampeni.
Mifano na mambo haya:
1.Ahadi ya milioni 50 kwa kila kijiji imewashinda kuitekeleza
2.Ahadi ya kuboresha masilahi ya watumishi wa umma...
Katika kundi ambalo kwa kawaida na ni nature yake kutaka mabadiliko ni kundi la vijana, vijana wengi kokote wamekuwa chachu ya kuhimiza mabadiliko, na kwa kulitambua hilo baadhi ya watu, makundi, vyama wamekuwa wakiwatumia vibaya vijana ili kutimiza malengo yao.
Nafahamu vijana wengi wa...
DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kupokea rushwa ya Sh. Milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Diwani huyo amefikishwa...
Nashangaaga mtu akisema CCM kutoka madarakani haiwezekani.
Watu tusikae kwa kukariri serikali Ikiweza kusambaza civil Education kwa Jamii nzima basi CCM bye bye.
Sisi vijana ambao tunaipenda Chadema kinachotuharibia nikutokupiga kura.
My advice: Chadema naomba muwasistize vijana kupiga kura...
Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za...
Tunakusudia tume huru ya ukweli iliyoridhiwa na wadau wote was uchaguzi vikiwemo vyama vya siasa.
Hatukusudii hii ya Sasa ambayo mwenyekiti wa CCM ndio huwachagua mwenyekiti wa NEC na mkurugenzi wake.
Hatukusudii tume huru hii ya Sasa ambapo serikali ya CCM inakataa rulling ya mahakama ya...
Viongozi wa CCM wanashangaza, wanatuhimiza kunawa mikono, kuvaa barakoa, kuepuka mikusanyiko na kukaa Nyumbani Kama hauna sababu ya kutoka, lakini wakati huo huo wanatuambia kuwa Tanzania Hakuna korona.
Cha kushangaza idadi ya Madereva wanaopimwa na kukutwa na virus vya korona kwenye mipaka ya...
Unaona wimbi kubwa la wana Chadema njaa kukimbia kwenda CCM. Si kwamba wanaipenda CCM, la hasha. Wanasoma trend kuwa wabunge wote walionunuliwa wame-retain nafasi zao bungeni.
Na wanajua kuwa hata uchaguzi wa October mbinu hiyo itatumiwa na serikali/CCM kupora ushindi wa Chadema. Au mbinu ya...
Uzi huu ni mrefu.
Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa.
Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
afrika
afya
brazil
ccm
corona
covid
covid-19
covid19
hela
jafo
korona
kubwa
lockdown
magufuli
maisha
maombi
mungu
nyuzi
pandemic
pepo
propaganda
rais
serikali
tahadhari
taifa
taifa letu
tanzania
ulaya
ushauri
video
wanawake
watanzania
who
wizara ya afya
Kwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu...
Siku zote huwa naamini kwenye usemi ule wa kwamba ukiwa na hasira jaribu kujiepusha kufanya maamuzi, kwani unaweza ukaonekana kituko. Hakuna ubishi kuwa wiki hii yote au tokea wabunge wa Chadema waondoke bungeni kwa ajili ya kuji-quarantine kuna mtu mmoja pale bungeni na si mwingine bali Job...
Hivi ndivyo naweza kusema kuhusu chama hiki cha kijani ambacho,kwa matendo yake, kinaonekana kukosa maarifa na sasa kinacheza tu muzik unaopigwa na devil,muziki ambao,japo wao wanaufurahia,lakini mwisho wa siku utapelekea anguko lao.
Midundo inayopigwa na devil na wanayoonekana kuifurahia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.