Uchaguzi 2020 Serikali na CCM wanapanda mbegu ya visasi na vita ya wenyewe kwa wenyewe, uchukuaji na urejeshaji wa fomu umekuwa vita?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kwanini wale wanaojiita kamati ya viongozi wa Dini wana sambaza ajenda ya AMANI na sio HAKI?

Kipi kinatakiwa kuanza amani au haki? Naweza kusema hawa watu ni wanafiki na wachumia tumbo.

Kinachoendelea sasa nchini katika zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu imekuwa vita hasa kwa upinzani na watu wanajiita wasiojulikana.

Nadhani ifike mahala iwe zao ama zetu, haijalishi anayekuja kwako awe polisi, TAKUKURU vyovyote iwavyo atangulie mochwari au akisalimika aamkie ICU iwe fundisho kwa wote.

Hii itapeleka wanaokosa haki kuamua kuunda vikundi vyao kuisaka haki ndio chanzo cha vita na hii inachangiwa na ccm kwa kujiona ndio wenye haki na hati miliki ya uongozi nchi hii.

Jino kwa jino sasa ikitokea kwa diwani wa upinzani rhe same iwe na upande wa pili
 
Swali kwanini wapinzani siku zote wao huwa ni wa mwisho kurejesha form na kuanza kulialia hapa? tunajua wanafanyiwa hujuma wangechukua form mapema na kurudisha mapema lakini huwa wanasubiri siku ya mwisho sijui kwanini
 
Mimi nilishangaa wale wananchi wana muuliza Lissu kuwa awape ruhusa wawapige wale maccm. Nilijiuliza hivi hata wakati walipokuwa shule wanapigwa wakirudi nyumbani ndio humuuliza baba kama anaweza kupigana na alie mpiga?.

Makamanda chapa mbuzi hao.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Tumechoka vitisho tangia mmevianza , mnasubiri nini kuanzisha hilo jino kwa jino?
 
Swali kwanini wapinzani siku zote wao huwa ni wa mwisho kurejesha form na kuanza kulialia hapa? tunajua wanafanyiwa hujuma wangechukua form mapema na kurudisha mapema lakini huwa wanasubiri siku ya mwisho sijui kwanini
Mkuu umesoma kanuni ya uchaguzi huu? Wameweka makusudi kwamba fomu inarejeshwa siku moja ambayo ni siku ya uteuzi. Saidieni kupigania demokrasia msikae pembeni na kulaumu watu walioko mstari wa mbele kupigania haki.
 
Tumechoka vitisho tangia mmevianza , mnasubiri nini kuanzisha hilo jino kwa jino?
Wanachosahau ni kuwa hiyo ni jinai, na jinai huwa haiishi. Wanayafanya wakiwa watawala. Kuna siku hawatakuwa watawala na uonevu wao huo tutaufufua! Tutawafunga hata wangali wazee!
 
Wanachosahau ni kuwa hiyo ni jinai, na jinai huwa haiishi. Wanayafanya wakiwa watawala. Kuna siku hawatakuwa watawala na uonevu wao huo tutaufufua! Tutawafunga hata wangali wazee!


Na wakiwa wameshaenda kama mzee Mkapa (RIP) je? Mtafunga makaburi?
 
Chadema sifa yao ni mikwala, social media lakini awana usubutu
Kama wale vipedo..
Unaweza kushabikia vitendo vinavyohatarisha amani, kisa upo upande wa muonevu, but i tell you, kikinuka wote tutakua kwenye risk sawa.
Ndio uzuri wa haya mambo.
 
Yote haya yameletwa na huyu Interahamwe wenu Jiwe. Kwa utamaduni wa siasa zetu za vyama vingi hatukuwa na desturi hiyo kuanzia awamu ya BWM na JK. Kutofautiana imani ya kiitikadi ilikuwa kama ni u-Simba na u-Yanga, mnabishana tu kwenye mazungumzo baada ya hapo maisha yanaendelea.

Lakini awamu ya 5 ya huyu Jiwe upinzania wa siasa umekuwa kama uadui. Tuseme Hapana CCM itoke, JPM atupishe tubakie waTanzania tuendeshe siasa zetu kwa amani.
 
Tume ya uchaguzi imebariki wasimamizi wa uchaguzi kunyanyasa wapinzani

Polisi wanasimamia utekaji, uporaji wa fomu na kubambika kesi wapinzaji

Taifa laTanzania linaaibika..

Vurugu na vitendo vya ajabu-- tutauwa utalii
 
Mnatupotezea muda... Malalamiko yametosha... Chukueni hatua... Msipofanya hivyo mwaka huu tutawadharau sana...
Wenzenu wanafanya kwa vitendo nyie kazi kulalamika lalamika tu... Kwanini wao waweze...
Amkeni...! MUNGU hawezi kusaidia plani zisizo zake...!!
 
Back
Top Bottom