Je, ni kwanini wagombea wa CCM hawatekwi?

Je, ni kwanini wagombea wa CCM hawatekwi?

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,421
Ikiwa leo ni siku ya kurudisha fomu za uteuzi, tutafakari kwa pamoja:

1. Kwanini wagombea wa CCM hawatekwi?

2. Kwanini hawatishiwi kuuawa?

3. Kwanini hawatuhumiwi kuwa ni raia wa kigeni?

4. Kwanini hawatuhumiwi ujambazi wala ukwepaji kodi?

Tukipata majibu mazuri ya tafakari hizi, bila shaka Tanzania itakuwa nchi ya amani.

Kuna methali moja inasema "Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga"
 
CCM NI VIBAKA ....NI WAUAJI ...NI WATEKAJI TANGU ENZI ZA MAKONDA .....DAWA YAO NI KUWACHOMA MOTO!
 
Ushauri wangu tafuta pesa watoto wapate maisha mazuri,ya siasa waachie wanasiasa..Ncha ya upanga unaijua mkuu?
 
Swali lako ili lijibike jua kwanza siasa Ni Kama familia.
Kuna mwenye nyumba na watoto (walio madarakani) alafu upinzani Ni wapangaji jeuri.
 
kuna video hapo juu ukifungua jukwaa la siasa inaeleza kila kitu.
If A=B=C...
 
Iko namna
Upinzani unapaswa kuonesha utayari. kama wanavyonesha CCm
Kuhika dola si mchezo.
Kunahitaji sana Ukakamavu na Mipango ya kina
Ikiwemo Hilla Halali
 
Huku kwetu kuna mmoja alijiteka, akabeba na nguo za kubadili halafu kavizia muda wa kurudisha fomu haujaisha kajirudisha ameoga kabisa.
 
Kuteswa kwa zamu mkuu, walianza CUF wakaja NCCR wakaibuka TLP na sasa ni Chadema, ukuu ni mzigo madongo yote mabaya utarushiwa wewe.
 
Back
Top Bottom