Wakuu heshima kwenu,
Huu mfumo wa wajumbe kwa maoni yangu nimeona unamatatizo mengi sana kuliko faida.
Ni mfumo ambao chama kitakuja kuutafakari kwa upya na kuutupilia kando.
Dhumuni la huu mfumo ilikuwa ati kupunguza rushwa lakini sivyo ilivyo,
Nina Hakika sana hakuna mwaka ambao fedha...