Wajinga huwa hatujui mambo na tunajua kuwa hatujui ndio maana tunakimbilia shule kujielimisha. Lakini wapumbavu hawajui na hawajui kuwa hawajui hivyo hawoni umuhimu wa kwenda shule. Sasa huyu ni zwazwa msukule maana hajui na hajui kuwa hajui halafu anafikiri anajua
duuh! ndio huyu anataka kwenda kuisimamia serikali na kutunga sheria??
wajumbe mlifeli sana kumuacha Mwanza Huduma bora hata ya wasira!!
ANYWAY NJIA NYEUPE KWA BULAYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.