Uchaguzi 2020 Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.

82AD79CB-BBF1-409B-B3E6-0AE50352EE0D.jpeg
 
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania ingekuwa ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia Lissu ana connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuhakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani

Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Sasa kwa akili ya kawaida unategemea CCM watashinda bila kutumia ubavu , mapanga na mitutu ya bunduki ?

CCM hawakubaliki na kila nwananchi mzalendo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli ameharibu vitu vingi sana.

Kama Tanzania ingekua ni nchi yenye kuwa na katiba nzuri, Raia wenye mwamko bora wa kisiasa (political will).
Katiba bora na Tume huru ya uchaguzi basi magufuli angekuwa anapumulia mashine.

Lissu alionya kuwa uchaguzi huu utakuwa mgumu sana na pia hataweza kukubali kuibiwa kura hata moja. Hayupo tayari kudhulumiwa haki kwa kigezo kuwa anamuachia Mungu.

Na pia lissu ana connection kubwa na Nyingi nje ya nchi za kuakikisha uchaguzi unaenda kwa haki na amani


Kukosekana kwa katiba nzuri Policeccm Dola na Raia wasio na uelewa wa kisiasa, wapumbavu, wajinga na masikini basi CCM itashinda uchaguzi.
Kama wananchi hatupo tayari kujitoa ku claim ushindi wetu hakuna msaada wowote utakaoletwa
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Hana wasiwasi JAMANA PRINTERS wameshafanya yao
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Rais Magufuli ana uhakika wa kushinda 95% sasa anaendelea na kazi za urais kama kawaida na wasaidizi wake wanaendelea na kampeni kama kawaida Mama Samia, Waziri Mkuu Majaliwa, M/Mwenyekiti Bara Mangula na Timu ya Ushindi upande wa Zanzibar wanaendelea na Kampeni kama kawaida. Unafikiri CCM kama Saccos ya Chadema ambayo inamtegemea Msaliti Lissu pekee yake!!? Mtasubiri sana!
 
Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
 
Kwa tulioshuhudia chaguzi zote tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi 1992 wanaweza kukubaliana na mimi kuwa kampeni za Chama cha Mapinduzi zimepoa sana.

Wiki iliyopita Dkt Magufuli kamaliza mapumziko ya siku 8 juzi kafanya kampeni siku moja halafu kapumzika tena hata ratiba haijulikani.

Kama anasikiliza uongo wa Polepole kuwa atashinda kwa asilimia 80 wanamponza.

Nawashauri CCM wafanye kampeni zimebaki siku chache hata nusu ya mikoa ya Tanzania hajamaliza atapataje 80%, safari hii macho ni mengi wasitegemee kupata kura za ujanja ujanja ni ngumu sana, labda kama wamejiandaa kutumia nguvu.
Ukiona mpinzani wako anasikitika vile unavyoendesha mambo yako hadi kufikia hatua ya kukushauri cha kufanya ili ushinde wewe jua tuu ni ulishamshinda, yaani wewe ni mshindi

Hongera kwao CCM
 
Mwanzoni kama Mwana CCM niliona kama CCM itashinda kwa zaidi ya 80 lakini kwa sasa jinsi upepo ulivyobadilika inatakiwa CCM tubadili mbinu ya kampeni zetu.

Taarifa ya Ndugu Polepole kuwa CCM itashinda kwa asilimia 85 siyo ya kweli. Hata kwenye Ubunge upepo siyo mzuri. Angalieni kule kwa Sugu, Pareso, Lema, Heche, Matiko, Wenje na Bulaya naona kama mambo yamebadilika sana.

Chukueni hatua za haraka ili uchaguzi huu tushinde kwa kishindo.
Hatua zipi sasa? Mbinu pekee iliyobaki ni kuiba kura tu. Period
 
Back
Top Bottom