Uchaguzi 2020 Mrema (TLP), Mbatia (NCCR), Kimei (CCM) na Kiwelu (CHADEMA) wafanya kampeni za ubunge Vunjo (K'Njaro) kuwa zenye ushindani mkali kuwahi kutokea

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,813
18,548
Mwaka 2020 utakumbukwa kama mwaka ulioshuhudia kampeni zenye ushindani mkubwa na msisimko wa aina yake katika jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Jimbo la Vunjo limekuwa kama jimbo la North East London huko Uingereza ambalo kila mwaka wa uchaguzi linabadilisha chama.

Kinyang'anyiro hiki ambacho ni vigumu kumtabiri mshindi wake hadi sasa kinawajumuisha vigogo wakubwa ambao ni James Mbatia (M/kiti wa NCCR) ambaye anatetea kiti chake, Augustine Mrema (M/kiti wa TLP) anayetaka kurusha karata ya mwisho kabla ya kustaafu siasa, Dr. Charles Kimei (CCM) aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa CRDB na Grace Kiwelu (CDM) aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kwa miaka 15.

Utamu wa demokrasia umenoga katika jimbo la Vunjo kutokana na ushindani mkali unaolifanya jimbo hili la uchaguzi kuwa lenye msisimuko na ushindani mkubwa sana pengne kuliko jimbo jingine katika uchaguzi wa wabunge mwaka 2020. Hizi ndio siasa za ushindani tunazozitaka sio mambo hovyo ya kupita bila kupingwa.

1602313396662.png
 
Mwaka 2020 utakumbukwa kama mwaka ulioshuhudia kampeni zenye ushindani mkubwa na msisimko wa aina yake katika jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Jimbo la Vunjo limekuwa kama jimbo la North East London huko Uingereza ambalo kila mwaka wa uchaguzi linabadilisha chama.

Kinyang'anyiro hiki ambacho ni vigumu kumtabiri mshindi wake hadi sasa kinawajumuisha vigogo wakubwa ambao ni James Mbatia (M/kiti wa NCCR) ambaye anatetea kiti chake, Augustine Mrema (M/kiti wa TLP) anayetaka kurusha karata ya mwisho kabla ya kustaafu siasa, Dr. Charles Kimei (CCM) aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa CRDB na Grace Kiwelu (CDM) aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kwa miaka 15.

Utamu wa demokrasia umenoga katika jimbo la Vunjo kutokana na ushindani mkali unaolifanya jimbo hili la uchaguzi kuwa lenye msisimuko na ushindani mkubwa sana pengne kuliko jimbo jingine katika uchaguzi wa wabunge mwaka 2020. Hizi ndio siasa za ushindani tunazozitaka sio mambo hovyo ya kupita bila kupingwa.

Nimeshangaa ktk kampeni Mbatia anaahidi tena alivyoahidi 2015...
 
Mwaka 2020 utakumbukwa kama mwaka ulioshuhudia kampeni zenye ushindani mkubwa na msisimko wa aina yake katika jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Jimbo la Vunjo limekuwa kama jimbo la North East London huko Uingereza ambalo kila mwaka wa uchaguzi linabadilisha chama.

Kinyang'anyiro hiki ambacho ni vigumu kumtabiri mshindi wake hadi sasa kinawajumuisha vigogo wakubwa ambao ni James Mbatia (M/kiti wa NCCR) ambaye anatetea kiti chake, Augustine Mrema (M/kiti wa TLP) anayetaka kurusha karata ya mwisho kabla ya kustaafu siasa, Dr. Charles Kimei (CCM) aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa CRDB na Grace Kiwelu (CDM) aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kwa miaka 15.

Utamu wa demokrasia umenoga katika jimbo la Vunjo kutokana na ushindani mkali unaolifanya jimbo hili la uchaguzi kuwa lenye msisimuko na ushindani mkubwa sana pengne kuliko jimbo jingine katika uchaguzi wa wabunge mwaka 2020. Hizi ndio siasa za ushindani tunazozitaka sio mambo hovyo ya kupita bila kupingwa.

CC Kongwa
BC Mtera
 
Mwaka 2020 utakumbukwa kama mwaka ulioshuhudia kampeni zenye ushindani mkubwa na msisimko wa aina yake katika jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Jimbo la Vunjo limekuwa kama jimbo la North East London huko Uingereza ambalo kila mwaka wa uchaguzi linabadilisha chama.

Kinyang'anyiro hiki ambacho ni vigumu kumtabiri mshindi wake hadi sasa kinawajumuisha vigogo wakubwa ambao ni James Mbatia (M/kiti wa NCCR) ambaye anatetea kiti chake, Augustine Mrema (M/kiti wa TLP) anayetaka kurusha karata ya mwisho kabla ya kustaafu siasa, Dr. Charles Kimei (CCM) aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa CRDB na Grace Kiwelu (CDM) aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kwa miaka 15.

Utamu wa demokrasia umenoga katika jimbo la Vunjo kutokana na ushindani mkali unaolifanya jimbo hili la uchaguzi kuwa lenye msisimuko na ushindani mkubwa sana pengne kuliko jimbo jingine katika uchaguzi wa wabunge mwaka 2020. Hizi ndio siasa za ushindani tunazozitaka sio mambo hovyo ya kupita bila kupingwa.

Kumbe CCM bado inapendwa Kilimanjaro ?
Sasa ilikuwaje awamu hii Magu amekuwa na chuki sana kwa raia za Kilimanjaro
 
wafuasi wao humu wanakwambia sio kazi ya mbunge kuleta maendeleo
Watu wengi wa CCM wakiongozwa na Magufuli hawana uelewa mpana wa kazi za wabunge au wanapotosha makusudi wanapoona wameelemewa. Siyo kazi ya mbunge kuleta maendeleo directly... eg, kujenga shule, barabara, masoko nk. BALI ni kuleta maendeleo indirectly. Mbunge huwa hana fungu la fedha. Hata kutafuta wafadhili au msaada inatakiwa isiwe kipaumbele. Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali kuleta maendeleo. Kazi ya mbunge ni kuchukuwa matatizo ya wananchi na kuyapeleka serikalini kwa utatuzi. Kazi ya mbunge ni kuwaunganisha wananchi na kuwa kama kiongozi wao.
 
Watu wengi wa CCM wakiongozwa na Magufuli hawana uelewa mpana wa kazi za wabunge au wanapotosha makusudi wanapoona wameelemewa. Siyo kazi ya mbunge kuleta maendeleo directly... eg, kujenga shule, barabara, masoko nk. BALI ni kuleta maendeleo indirectly. Mbunge huwa hana fungu la fedha. Hata kutafuta wafadhili au msaada inatakiwa isiwe kipaumbele. Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali kuleta maendeleo. Kazi ya mbunge ni kuchukuwa matatizo ya wananchi na kuyapeleka serikalini kwa utatuzi. Kazi ya mbunge ni kuwaunganisha wananchi na kuwa kama kiongozi wao.

Kama wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi hawawakilishi watu wao wala kudai maendeleo yao wanasubiri hadi kampeni zianze wakifika huko kuomba kura na kuambiwa hatuna shule au madarasa ndio wanaanza kudanganya kwamba shida ni serikali hii haikubaliki.
Ndio maana wanaambiwa wakirudia kuwachagua maendeleo hakuna
 
Watu wengi wa CCM wakiongozwa na Magufuli hawana uelewa mpana wa kazi za wabunge au wanapotosha makusudi wanapoona wameelemewa. Siyo kazi ya mbunge kuleta maendeleo directly... eg, kujenga shule, barabara, masoko nk. BALI ni kuleta maendeleo indirectly. Mbunge huwa hana fungu la fedha. Hata kutafuta wafadhili au msaada inatakiwa isiwe kipaumbele. Kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali kuleta maendeleo. Kazi ya mbunge ni kuchukuwa matatizo ya wananchi na kuyapeleka serikalini kwa utatuzi. Kazi ya mbunge ni kuwaunganisha wananchi na kuwa kama kiongozi wao.

labda huelewi unachoongea ama umeamua makusudi kuitupia ccm tatizo lako la kutokuelewa.

unaandika hapo "kazi ya mbunge ni kuisimamia serikali kuleta maendeleo"halafu tena unasema sio kazi ya mbunge kuleta maendele!!!!!!

namimi nikwambie,ujinga wa baadhi ya wabunge wa vyama pinzani na hata ccm baadhi.unakwenda bungeni,badala kuikaba serikali kuhusu jimbo lako kukosa maji,unafanya ufalamanga mwingine unaouona unakufaa,matokeo yake ndio haya miaka 5 inaisha huna cha kuwaeleza wananchi unaanza tena kuomba uwaletee barabara,kama ulijua sio kazi yako uliomba/unaomba ya nini????
 
  • Thanks
Reactions: K M
Kama wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi hawawakilishi watu wao wala kudai maendeleo yao wanasubiri hadi kampeni zianze wakifika huko kuomba kura na kuambiwa hatuna shule au madarasa ndio wanaanza kudanganya kwamba shida ni serikali hii haikubaliki.
Ndio maana wanaambiwa wakirudia kuwachagua maendeleo hakuna

Ilipofikia sasa ni vyema kumpa mtu za uso tu,namkubali Magu kwa hili.

Maana hatuwezi lea ugonjwa kisa dawa chungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom