ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. K

    Maamuzi ya kamati kuu CCM kuhusu wateule itakuwa ndio fyuzi ya kulipua bomu linalotokota CCM

    Huko CCM kuna bomu linatokota. Bomu hili linaitwa kwa majina tofauti. Umaarufu wake 'WAJUMBE" Ni wazi kuwa kuna mchanganyiko wa sababu. Zikiwemo mtifuano wa CCM mpya na kongwe. Rushwa na nguvu ya pesa. Vita ya madaraka kuelekea 2025 ndani ya CCM. Amini kwamba maamuzi ya Kamati kuu kuhusu...
  2. Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

    Muda mfupi mh Tundu Lissu atakuwa mbashara kuanzia saa 8: 00 mchana,Vituo vitakavyokuwa live Ni @standardKenya na @KTNNews, hii Ni kwamjibu wa Tumaini Makene ====== Mwandishi: Mchakato wa kupona ulikuwaje? Lissu: Asante kwa kushiriki kwenye kipindi chenu na kuongea na wananchi wa Kenya kuhusu...
  3. M

    GE2020 Nitashangaa sana kama CCM watampitisha Dkt. Mwigulu Nchemba kwa madudu haya anayofanya Iramba

    Ninaandika hivi kama MwanaCCM mwenye uchungu na Chama changu na ninayeamini usafi katika kutumikia umma. Ninatokea kijiji cha Simbalungwala ambacho ni jirani na kijiji cha Makunda anapotoka Dkt. Mwigulu Nchemba na pia jirani na Ulemo kijiji ambacho Dkt. Mwigulu Nchemba kajenga na ndipo...
  4. D

    Kama kweli CCM itawatia adabu waliotoa rushwa itajenga imani kubwa kwa wapiga kura (Watanzania)

    Taarifa zinasema kumekuwa na rushwa katika chaguzi za CCM kwa miongo kadhaa lakini wadadavuaji wa mambo ya kisiasa wanasema safari hii ilikuwa ni balaa, kwani kura zilipelekwa katika soko kama la hisa au mnadani wa kura kwani mwenye dau kubwa ndiyo alifanikiwa kununua kura za ushindi na mwenye...
  5. K

    Kujuana kwa itikadi za CCM, undungu na Mazoea kunavyozorotesha uwajibikaji Zanzibar

    Mada inahusika. Kwa miaka mingi ndani ya Serikali ya Zanzibar kumekuwa na mazoea ya kuchaguliwa kwa itikadi, kujuana na undugu. Yaliyopita ni mengi, lakini kwa muktadha wa mada hii tuangalie hii miaka mitano kutoka 2015 - 2020. Ikumbukwe Zanzibar inahitaji kuponywa majeraha mbali mbali ya...
  6. GE2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

    Kumekucha salama, Leo tarehe 06.08.2020 mgombea nafasi ya kazi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa Chama cha Mapinduzi, atachukua fomu kwenye ofisi ya NEC makao makuu ya Dodoma. Baada ya kuchukua fomu ataongea na wananchi pia wanachama wa CCM kwenye ukumbi wa White House...
  7. Kuhusu Rushwa kura za maoni CCM: Wahojiwe Wajumbe wenyewe na siyo kusubiri ushahidi wa TAKUKURU

    Katika kitu ambacho CCM kitabugi ni kupata ushahidi kutoka TAKUKURU ambao tumeona maeneo mengi kabisa nchini wameshindwa kuwajibika ipasavyo. TAKUKURU maeneo mengi rushwa zimetolewa wazi wazi na wanaangalia bila kuchukua hatua yeyote. Mimi natoka Wilaya ya Singida Vijijini, lakini Wilaya zote...
  8. K

    Naomba kuuliza: Hivi gazeti la Majira linamilikiwa na CCM?

    Nilikuwa nalipenda saana hili gazeti miaka ya nyuma lakini hivi karibuni nimepoteza kabisa hamu ya kuliona mbele yangu kutokana na habari zake kuegemea upande mmoja tu. Pengine limebadilisha wamiliki siku hizi! naomba kujua manake hili sio Majira tena ile iliyokuwa imejizoelea umaarufu wa...
  9. GE2020 CCM wakirudisha majina haya nitaamini kweli Chama hakina Vyombo vya Uchunguzi

    Katika harakati za upatikanaji wa wabunge na madiwani wapo wagombea walio cheza rafu za wazi kabisa, yaani huhitaji hata VAR ili kujiridhisha na rafu za baadhi ya wagombea. Wapo wagombea wengi walioshika namba 1 hadi 5 wanahitaji umakini zaidi katika kuwateua, hao ndio walipiga wenzao buti za...
  10. GE2020 Nimewasikiliza walimu fulani, aisee! CCM haina chake kwao

    Jana jioni nilikuwa naongea na walimu fulani aisee CCM imepoteza kwao. Nilijaribu kujifanya Mimi ni mwanaCCM nikaimba ngojera ya stiglaz standadgeji vivuko uchumi wa kati flyova nk. Majibu yao yalikuwa haya. Miaka miwili nyuma waliongezwa shilingi (5000-7000) kwenye mishahara yao.sijui ni...
  11. GE2020 Ipo mifano hai kuwa Lissu atashinda Urais 2020, CCM tusijipe matumaini nawaambieni

    Wasalaam wajumbe wa jukwaa hili! Naomba kudeclear kabisa kua mimi ni Mwanaccm toka 1997, nachozingumzwa hapa naomba nisipelekwe ufipani. Ninachoshangaa na wanaccm wenzangu kujawa hopes kua tunaweza kushinda uchaguzi huu kwa urahisi hivyo, naomba ni waambieni kwa ushahidi huu kua Lissu ni...
  12. A

    Magufuli ang'ara kwenye Sekta ya Kilimo. Hongera sana CCM

    Wanajamvi. Amani kwenu Leo ni siku nyingine ya kutafakari utendaji mzuri wa Rais Magufuli na serikali yake katika kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 - 2020. Leo tuangalie Sekta ya Kilimo. Katika jitihada za kuendeleza kilimo, kuliundwa dirisha la kilimo katika Benki ya Uwekezaji...
  13. Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

  14. N

    GE2020 Utanzania wetu ubaki palepale

    Nasema hivi, shukrani kwa ccm mlipotufikisha ,asanteni sana naamini bado mna nguvu ya kuendesha nchi hii hata kwa miaka 100 ijayo ILA NYIE CCM, ACT NA CHADEMA MNAKERA SANA Wengine siyo washabiki wa siasa ila haya makarateee niliyoanza kuyaona yanakera MNABOA SANA. sikilizeni nyie jamaa Hii...
  15. GE2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli alitoa rushwa Kibiti Mil. 5 na akanunua jogoo laki moja wakati kashapitishwa kugombea Urais. Nitamuwekea pingamizi

    Amesema Rais Magufuli huku akiwa ameshatangazwa kuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Uchaguzi wa Oktoba 2020 ametoa rushwa Wilayani Kibiti kwa mujibu wa Fomu ya Kuweka Mapingamizi dhidi ya Mgombea Urais Amesema Rais Magufuli alipokuwa akigawa fedha kwa ajili ya madawati na shule...
  16. A

    GE2020 Humphrey Polepole: Dkt. Magufuli atachukua fomu ya Urais 06 Agosti Dodoma. Mwanachama aliyepiga mazonge kwenye kura za maoni atashikishwa adabu

    Katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi ndugu Polepole ataongea na watanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano utafanyika ofisi ndogo ya CCM - Lumumba, Dar es Salaam. Usipange kukosa kufuatilia. Juzi tulikuwa na NEC ilituita vyama vyote, taarifa muhimu tumepewa, kikao kilichopita...
  17. Dar, Mlimani City: Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa CHADEMA leo tarehe 04/08/2020

    Salaam Wakuu, Leo Vikao vya Chanma cha CHADEMA vinaendelea Jijini Dar es Salaam. Na leo ni mkutano Mkuu wa CHADEMA. Tutawalea Updates ya kile kitakachojiri kutoka Mlimani City. Leo Tarehe 4, Agosti 2020, Mkutano Mkuu wa Chama una kazi ya kutekeleza kazi zake, ikiwemo “kuteua mgombea wa Urais...
  18. GE2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

    Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...
  19. Waliohamia CCM kwa kuunga juhudi wanajutia?

    Mwl. Nyerere alikuwa miongoni mwa vijana wanufaika wakuu wa Utawala wa Wakoloni. Alipata nafasi ya kusomeshwa hadi vyuo vikuu na alikuwa ana ajira kwenye serikali ya wakoloni na kupata mshahara. Hawa ndio waliopaswa kuunga juhudi kwelikweli za utawala wa mkoloni. Uhuru wetu huenda ungechelewa...
  20. S

    Naomba ufafanuzi toka wafuasi wa CCM na viongozi wao - Mabeberu ni kina nani, ni nchi wahisani au wafadhiri?

    Hivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu. Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…