johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Hakuna namna utafanya mikutano ya kampeni bila kuwachangamsha wahudhuriaji kwa burudani tofauti tofauti.
CCM hupendelea kwaya na Singeli
Chadema wao hupiga reggae kama ODM ya Kenya
ACT Wazalendo hupendelea mirindimo ya Pwani
NCCR mageuzi hupiga kwaya nk nk
Kinachotofautisha aina za burudani ni uwezo wa vyama kiuchumi lakini burudani ni muhimu.
Maendeleo hayana vyama!
CCM hupendelea kwaya na Singeli
Chadema wao hupiga reggae kama ODM ya Kenya
ACT Wazalendo hupendelea mirindimo ya Pwani
NCCR mageuzi hupiga kwaya nk nk
Kinachotofautisha aina za burudani ni uwezo wa vyama kiuchumi lakini burudani ni muhimu.
Maendeleo hayana vyama!