Uchaguzi 2020 Hapa ndipo walipokosea viongozi wa CCM kwenye mikakati ya kampeni

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
1. Unapotaja fly over ya ubungo na Tazara ishia Dar es Salam maana Kigoma awatakuelewa.

2. Unapotaja reli ya standard Gargey ishia Dodoma, Mtwara ni vigumu kukuelewa.

3. Unapokwenda ukerewe zungumzia uvuvi na namna nyavu zilivyo chomwa Moto, usizungumzie uchumi wa Kati.

4. Ukienda Mtwara hakikisha umelipa madeni ya korosho, usiende kuwasimulia uchumi wa Kati.

5. Ukienda Arusha jadiliana na Wananchi kuhusu kilimo, utalii na ajira siyo habari za uchumi wa Kati na treni mpya,siyo vipaumbele.

6. Ukifika Mbeya zungumzia kuboresha usafiri na kufungua mipaka siyo kuhubiri reli, flyover na mradi wa umeme.

7. Jadili ajira utakazotoa siyo ulizotoa, jadili huduma ya afya iliyoboreshwa siyo iliyopo Sasa, jadili Uhuru wa watu na kudhibiti matumiz ya dola kwenye maisha ya watu nk.

Haya yote mlipaswa kujipanga nayo lakini amkufanya hivyo, wenzenu CHADEMA walisoma nyakati.

Mlishindwaje kung'amua mapema umuhimu wa kauli mbiu ya maendeleo ya watu? Hii ni agenda ya Dunia kwa Sasa, ushirikishaji wa watu kwenye kupanga, kuamua na kutekeleza ndo mpango wa Dunia kwa Sasa.

Fungueni macho, hakuna maendeleo ya Dunia au jamii yaliyojengwa kwa kuwadharau wakubwa Wala wadogo, mabeberu Ni wetu, makaburu Ni wetu, wanyonge Ni wetu, matajiri Ni wetu tubadili fikra tufanye mambo shirikishi na yenye uwazi ndani yake.

Walaumiwe wanaofikiri kwa niaba ya wanachama wetu,mmewaangusha sana wanachama tengenezeni critical thinkers
 
Hii Mikoa inategemeana sana katika shughuli za kila siku.

Hii kutokana na Mobility ya watu.

Sidhani kama kuna kosa lolote hapo.
 
Hii Mikoa inategemeana sana katika shughuli za kila siku.

Hii kutokana na Mobility ya watu.

Sidhani kama kuna kosa lolote hapo.
Hapo Wala hamjakoseakazeni buti,wapigajura Wana wasomeni vyema,Ila mjiandae kwenda mlikopeleka mboga hivi karibuni,kula itapatikana huko.
 
Hapo Wala hamjakoseakazeni buti,wapigajura Wana wasomeni vyema,Ila mjiandae kwenda mlikopeleka mboga hivi karibuni,kula itapatikana huko.
Ninachokiamini, days are numbered..Hizi kelele zenu zisizo za Msingi zitaishia Oct. 28.

Sasa baada ya hapo tunasubiri muingie barabara Law enforcers + soldiers + wagonga nyundo(Judges and magistrates) wafanye kazi yao ipasavyo.

My take:
Angalieni msije mkawaponza na kuwaumiza hata wale wasio husika.
 
1. Unapotaja fly over ya ubungo na Tazara ishia Dar es Salam maana Kigoma awatakuelewa.

2. Unapotaja reli ya standard Gargey ishia Dodoma, Mtwara ni vigumu kukuelewa

3. Unapokwenda ukerewe zungumzia uvuvi na namna nyavu zilivyo chomwa Moto, usizungumzie uchumi wa Kati.

4. Ukienda Mtwara hakikisha umelipa madeni ya korosho, usiende kuwasimulia uchumi wa Kati

5. Ukienda Arusha jadiliana na wananchi kuhusu kilimo, utalii na ajira siyo habari za uchumi wa Kati na treni mpya,siyo vipaombele

6. Ukifika Mbeya zungumzia kuboresha usafiri na kufungua mipaka siyo kuhubiri reli, flyover na mradi wa umeme.

7. Jadili ajira utakazotoa siyo ulizotoa, jadili huduma ya afya iliyoboreshwa siyo iliyopo Sasa, jadili Uhuru wa watu na kudhibiti matumiz ya dola kwenye maisha ya watu nk.

Haya yote mlipaswa kujipanga nayo lakini amkufanya hivyo, wenzenu CHADEMA walisoma nyakati.

Mlishindwaje kung'amua mapema umuhimu wa kauli mbiu ya maendeleo ya watu? Hii ni agenda ya Dunia kwa Sasa, ushirikishaji wa watu kwenye kupanga, kuamua na kutekeleza ndo mpango wa Dunia kwa Sasa.

Fungueni macho, hakuna maendeleo ya Dunia au jamii yaliyojengwa kwa kuwadharau wakubwa Wala wadogo, mabeberu Ni wetu, makaburu Ni wetu, wanyonge Ni wetu, matajiri Ni wetu tubadili fikra tufanye mambo shirikishi na yenye uwazi ndani yake.

Walaumiwe wanaofikiri kwa niaba ya wanachama wetu,mmewaangusha sana wanachama tengenezeni critical thinkers
Maana ya maendeleo according to mwl JK
 
Ninachokiamini, days are numbered..Hizi kelele zenu zisizo za Msingi zitaishia Oct. 28.

Sasa baada ya hapo tunasubiri muingie barabara Law enforcers + soldiers + wagonga nyundo(Judges and magistrates) wafanye kazi yao ipasavyo.

My take:
Angalieni msije mkawaponza na kuwaumiza hata wale wasio husika.
Hiiiiiiiiiii.
EkORYQlXsAElaoC.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom