Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,381
Maneno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
Maneno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
View attachment 1601498View attachment 1601499View attachment 1601500View attachment 1601501View attachment 1601502View attachment 1601503
Picha za mwaka 1942 wakati wa harakati za kudai uhuruManeno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
View attachment 1601498View attachment 1601499View attachment 1601500View attachment 1601501View attachment 1601502View attachment 1601503
Amen kubwa hapo!Mungu ibariki Chadema
😆😆😆Picha za mwaka 1942 wakati wa harakati za kudai uhuru
MAWAKALA WA CHADEMA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU NA MBINU ZOZOTE OVU KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA..
NARUDIA TENA MAWAKALA CHONDE CHONDE MSIKUBALI UPUMBAVU WOWOTE KWENYE VYUMBA VYA KUHESABIA KURA.
MSIOGOPE HATA KIFO.
Mkuu mbarali ndio huku anakogombea yule msaliti silinde?
Silinde alienda Tunduma baada ya kuona jimbo lake la Momba la moto.Mkuu mbarali ndio huku anakogombea yule msaliti silinde?
Silinde anagombea Tunduma (Songwe) siyo Mbarali (Mbeya)Mkuu mbarali ndio huku anakogombea yule msaliti silinde?
Silinde yuko TundumaMkuu mbarali ndio huku anakogombea yule msaliti silinde?
Huko momba yuko nani kwa sasa mkuu.Silinde alienda Tunduma baada ya kuona jimbo lake la Momba la moto.
Asante sana mkuu. Mbeya siifahamu kabisa hivyo inanichanganya ingawa napenda siasa zao hawana mapenzi na "mbogamboga" kabisaSilinde anagombea Tunduma (Songwe) siyo Mbarali (Mbeya)