Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
CCM kwa nje tunaonekana tuko wamoja na wenye upendo na Wagombea wetu. But ukweli ni kwamba moyoni mwetu tuna mambo ambayo tumeyaweka.
Kwa hiki kipindi miwili hatukuridhika namna Chama kilivyoendeshwa. Wageni kama Katibu Mkuu na Polepole wamekuja na kukivuruga Chama kabisa. Wakamdanganya Bwana Mkubwa kuwa tuwanunue wapinzani, hilo likafanyika, wapinzani wakaja wakaanza kulamba vyeo na fursa mbalimbali huku wakitutukana sisi tulioanza toka Chipukizi, UVCCM, WAZAZI na UWT kuwa ni vilaza.
Tumekaa kimya na kuvumilia matusi yote kwa miaka 3 kisa wahamiaji kuvamia Chama.
Wengi tulivumilia. Tumevumilia sana na vya kutosha. Matusi yote tumetukanwa sisi. Ni dhahiri tuliweka kitu moyoni; walipokuwa wanatutukana hawakujua kuwa binadamu hata sisi wanaCCM tuna moyo na damu pia.
Sasa tarehe 28 kuna jambo nalo tutalifanya kisirisiri. Watu hawataamini matokeo nawambieni.
Kwa hiki kipindi miwili hatukuridhika namna Chama kilivyoendeshwa. Wageni kama Katibu Mkuu na Polepole wamekuja na kukivuruga Chama kabisa. Wakamdanganya Bwana Mkubwa kuwa tuwanunue wapinzani, hilo likafanyika, wapinzani wakaja wakaanza kulamba vyeo na fursa mbalimbali huku wakitutukana sisi tulioanza toka Chipukizi, UVCCM, WAZAZI na UWT kuwa ni vilaza.
Tumekaa kimya na kuvumilia matusi yote kwa miaka 3 kisa wahamiaji kuvamia Chama.
Wengi tulivumilia. Tumevumilia sana na vya kutosha. Matusi yote tumetukanwa sisi. Ni dhahiri tuliweka kitu moyoni; walipokuwa wanatutukana hawakujua kuwa binadamu hata sisi wanaCCM tuna moyo na damu pia.
Sasa tarehe 28 kuna jambo nalo tutalifanya kisirisiri. Watu hawataamini matokeo nawambieni.