OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,195
- 103,724
Hii ndiyo kazi ya mbunge.Mbunge anaongea na waziri kupitia bunge. Magufuli na Gwajima alitaka Halima afanye nini zaidi?
Rangi.Mchawi nani
Wachawi wanajulikana mbona?Mchawi nani
Hajitambui huyu.Wachawi wanajulikana mbona?View attachment 1600696
Hii ndiyo kazi ya mbunge.Mbunge anaongea na waziri kupitia bunge. Magufuli na Gwajima alitaka Halima afanye nini zaidi?
Tatizo Halima sio mweupe, huenda pornboy atakuwa kamzid halima weupe
Hii ndiyo kazi ya mbunge.Mbunge anaongea na waziri kupitia bunge. Magufuli na Gwajima alitaka Halima afanye nini zaidi?
Ameumbuka au amejiumbua mwenyewe.Shida ya magufuli ni ushamba na ilimbukeni wa ndege hajui sheria na taratibu za nchi na za kimataifa
Fedha zinaombwa bungeni na siyo kwa Rais
Mtumishi wa shetaniWachawi wanajulikana mbona?View attachment 1600696
Hii ndiyo kazi ya mbunge.Mbunge anaongea na waziri kupitia bunge. Magufuli na Gwajima alitaka Halima afanye nini zaidi?
Hakuna namna ya kurudi madarakani huyu. Wafuasi wake kama ambavyo wamekuwa wakimtia moyo kwamba anakubalika kwa miaka 5 bado wanaendelea kumdanganya kuwa atashinda.Kila mara hapa tumekua tukiimba ya kwamba Magufuli anapotoshwa sana na maafisa wake wa Chama,hiki ndio kinaenda kumuondoa madarakani. Amekosa watu smart kabisa wenye kupika propaganda zenye akili zinazosomeka.
Hebu tazama hii video wasaidizi wake walimpotosha kwamba Halima Mdee hajawahi kusimama bungeni kuwaombea miradi ya barabara jimboni kwake, kumbe mdada wa watu amekuwa akiteseka kupiga kelele miaka yote lakini Serikali ya CCM ndio haikutekeleza.
Gwajima naye bila haya wala dini ameenda kusimama kwenye mfereji wa maji katikati eti akisema jimbo halina mifereji ya maji kwakuwa mbunge hawasemei bungeni. Sasa hebu tazama hapa wanavyoumbuka sasa.
Tatizo ni serikali ya CCM na watu wake ndiyo wanaohujumu KAWE wala siyo Halima Mdee.