bustani

The Boustani family is a prominent dynastic Lebanese family with significant influence around the globe. Variations of the name, due to transliteration, include: Boustani as well as Boustany, Bistany, Bostany, Bustani, Besteni, and Bestene (Arabic: بستاني‎ / ALA-LC: Bustānī). The name, a nisba, derives from the Arabic word for garden (a loanword from Middle Persian “bōyestān”) and is thought to date back to at least the 15th Century.
The family has its roots in a place named El-Bassatin, in the village of Jableh, near Lattakia, Syria. In the beginning of the 16th century, and after the Ottoman conquest of the Middle East, Muqim (Abu Mahfouz) left his home town and went towards Mount-Lebanon, stopping at Dahr Safra, then Bqerqacha, a village at the foot of the Cedars of Lebanon. Muqim had three sons, Mahfouz, Abd el Aziz and Nader. Abd el Aziz resided in Deir el Kamar. Nader and his family settled in the Chouf region, principally Deir el Kamar and Debbiyé.
Muqim and his eldest son Mahfouz went back to the northern regions of the country. His descendants still bear the name Mahfouz.
Following social and political upheavals, the Boustanis settled in every single region of Lebanon – in Giyeh, Marj, Jounieh, Tripoli, in the Koura and the Beqaa – as well as in Syria (Damascus and Aleppo) Turkey and Egypt. Throughout the two last centuries, and especially in the beginning of the 20th, the great migration of the Boustanis towards Europe and the New World began.
During the two last centuries, members of the family emigrated from different Lebanese cities to numerous countries around the world. However, the Boustanis who presently live in Lebanon, as well as those of the Diaspora, constitute one sole family.
The Boustanis were a family of many talents, to which were born eminent archbishops, great statesmen, businessmen, writers and poets in Lebanon and in the Diaspora countries. Among the bishops were: Abdallah (1780–1866), Boutros (1819–1899) and Augustin (1875–1957).

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye bustani ya Wanyama ya Beijing

    Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye Bustani ya Wanyama ya Beijing.
  2. Rogart Ngaillo

    Nahitaji mshirika katika ufugaji kuku wa kienyeji na bustani

    Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu! Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa tija hapo mbeleni. Mfano: ■ Nilinunua tetea wanne na jogoo mmoja,wamenizalishia zaidi ya kuku 60...
  3. Tutor B

    Ijue bustani ya asili yenye mimea lishe / tiba adhimu.

    Najua mpo mnaopenda kuenzi mambo ya asili, basi pitia hiyo atacchment naamini kuna kitu utajifunza. Kwa ufupi Posh Garden ni sehemu ambapo tunajishughulisha na uoto wa asili na kufanyia kazi tafiti mbalimbali.
  4. OMOYOGWANE

    Bustani ya Eden ipo Afrika Mashariki?

    Binadamu wa kwanza aliishi yapata miaka milioni tatu iliyopita, fuvu lake liligunduliwa huko oldvai George na mwana akiolojia Dr Leakey akiwa na mke wake Mary Leakey. Mwanzo Adam na Eva waliishi ktk bustani ya Eden, baada ya kula tunda wakafukuzwa wakaambiwa waishi nje ya bustani ya Eden...
  5. Nyumba Nafuuu

    Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

    Zifuatazo ni Aina Kadhaa za Nyumba za kuishi Familia ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako. Zipo ktk uwanja mpana wa STAILI, KIASI CHA KIWANJA, KIASI CHA VIFAA... Kutazama Ramani Zake za Ndani +255-657-685-268 WhatsApp 1 ==> vyumba 3, tofali 1700, bati 50 2 ==> vyumba 3...
  6. Sky Eclat

    Mke wa Rais wa Marekani ameweka ujumbe wa Valentine kwenye bustani za White House

    Jill Biden ameweka alama za moyo na katika kila moyo ameandika ujumbe Healing, Courage, Love, Compassion, Gratitude, Peace, Amor, Strength, Kindness, Family, Unity. Love Jill
  7. MK254

    Bustani zote kuwekwa Wi-Fi ili vijana wetu watumie kwenye shughuli zao za kielimu na ajira pia

    Hii safi sana, vijana wetu waendelee kufundishwa systems developments ikiwemo apps na games development na mengine mengi, wawe wanakaa kwenye hizi bustani mchana kutwa wakifanya kazi zao.... Pia itarahisisha kwa tuliobobea kwenye tasnia ili kuwasaidia vijana, unatenga masaa mawili kila siku na...
  8. B

    Waliomweka Mwafrika katika bustani ya wanyama hatimaye waomba radhi (Ota Benga)

    Katika kuficha ukweli kuhusu aliyofanyiwa, jumuiya hiyo kwa muda wa karne nzima imekuwa ikidai eti alikuwa mfanyakazi wa bustani hiyo na wakati mwingine kujichanganya katika maelezo yake. Mwaka 1916, kufuatia kifo cha Ota Benga, habari iliyoandikwa na gazeti la New York Times ilitupilia mbali...
  9. GENTAMYCINE

    Kwa ' Kufuru ' tuliyoifanya Usiku wa Kuamkia leo kama Kesho Yanga SC akishinda Taifa nitamwagilia Bustani za Dar Mwaka mzima

    Kwa tulichokifanya ' Kamati ya Roho Mbaya na Ufundi wa Kimila ' usiku wa Kuamkia leo ili Kulipiza Kisasi kwa Yanga SC tutakapocheza nao Kesho Jumapili tarehe 12 July, 2020 kama Yanga SC akishinda ( akitufunga ) tena basi GENTAMYCINE najitolea kuwa namwagilia Bustani zote za Manispaa ya Mji wa...
  10. Hckcode8

    Bustani ya Edeni ipo wapi?

    Habari wakuu Naomben msaada juu ya hili hivi bustani ya edeni ipo mbinguni au ipo duniani???? "Ingawa Mimi naamini ilikuwepo duniani ila ikaja kuaribiwa na gharika"... Nawasilisha alban
  11. R

    National College of Tourism Arusha na Institute of Rural Development Planning - Dodoma

    Wapendwa, naomba kusaidiwa. 1. Chuo cha Mafunzo ya Utalii yanakupa ujuzi gani-expertise? Na baada ya kumaliza kazi za mhitimu (in case ameajiriwa) ni zipi? Day to day activities. Mafunzo yanajumuisha acquired skills zipi. 2. Chuo cha Rural Development Planning - DODOMA (Chuo cha Mipango)...
  12. H

    Hasara ya COVID-19 kwa wakulima wa mazao ya bustani

    Habari wanajamvi, Je, kwa hali inayoendelea mnahisi kwa wakulima wa ndani ambao wanalima mazao ya bustani wameathirika au wanaathirika vipi kwa kipindi hiki na je, ikitokea lockdown itaathiri vipi mazao yao kwa kuzingatia mambo yafuatayo: 1. Elimu ya matunzo ya mazao shamba bado dogo na bado...
  13. Francis12

    Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

    Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020. ==== Updates “Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe. “Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu...
  14. J

    Uenyekiti CHADEMA ni sawa na tunda la mti wa katikati pale Eden, ukiligusa tu unatupwa nje ya Bustani kama Zitto, Sumaye na Mwambe

    Kiukweli kitendawili cha nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA ni kigumu sana kukitegua. Kwanini Mwenyekiti yuko madarakani kwa zaidi ya miaka 20, ndilo swali kuu! Je, ni demokrasia, ubabe au udikteta? Kwanini kila aliyetamani kuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii hayuko katika chama hicho chenye...
  15. N

    Tusaidiane kuhusu kilimo cha bustani ya mipapai

    Habarini wadau! kheri ya mwaka mpya!! Kuna ndugu yangu kamaliza chuo mwaka juzi. Mama mnavyojua, suala la ajira ni kitendawili kilichokosa majibu. nimefikiria kumshauri aanzishe tu kijikibustani cha mipapai ili aweze kujipatia chochote baada ya muda. Kaeneo kalichopo ni kama robo tatu ekari...
  16. R

    Tunatoa huduma ya utunzaji wa bustani na usafi

    #Gardenia89tz Huduma ya utunzaji wa Bustani na Usafi zinaendelea. Kwa wenye uhitaji wa vijana wa Bustani, shamba boy na Usafi wanapatikana. Piga 0711383998 Pugu,DSM For garden and cleaning services Planning✔maintenance✔ clearance✔lawn care,✔outdoor cleaning,✔gutter cleaning✔
  17. FRANCIS DA DON

    Napendekeza ujenzi a garden / bustani kubwa viwanja vya Jangwani

    Painuliwe juu vizuri, pawekwe level, pachimbwe mitaro mipana iliyoenda chini vya kutosha na ijengewe vizuri (water drainage canals). Padizainiwe garden moja kali sana, yawekwe mabenchi ya zege mazuri kabisa, watu wawe wanapunga upepo na kufanya picnic. ______________________________...
Back
Top Bottom