Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 899
- 1,887
Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu!
Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa tija hapo mbeleni.
Mfano:
■ Nilinunua tetea wanne na jogoo mmoja,wamenizalishia zaidi ya kuku 60 (wote wakubwa )
■ Nilijaribu bustani ya mboga na pilipili, hadi sasa matokeo ni chanya.
Nimeona hawa kuku (ambao wengi ni matetea) wanataka kunizidi nguvu maana naona wanaanza kutaga hovyohovyo...nimeanza ujenzi wa banda lao maana chumba waishimo hakikidhi matakwa yao!
● Nahitaji yeyote mwenye ndoto za ufugaji kama zangu tupigane "kampani"
●Niko mbele kidogo ya mkoa wa Njombe kuelekea Ludewa (Mwendo wa saa 3)
●Nina nyumba ya kuishi yenye umeme na maji (kwa umwagiliaji)
●Ukiamua nawe unaweza kuja kuishi huku.
Kama uko interested nichek PM au piga/sms namba hii:-
0765395666
Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa tija hapo mbeleni.
Mfano:
■ Nilinunua tetea wanne na jogoo mmoja,wamenizalishia zaidi ya kuku 60 (wote wakubwa )
■ Nilijaribu bustani ya mboga na pilipili, hadi sasa matokeo ni chanya.
Nimeona hawa kuku (ambao wengi ni matetea) wanataka kunizidi nguvu maana naona wanaanza kutaga hovyohovyo...nimeanza ujenzi wa banda lao maana chumba waishimo hakikidhi matakwa yao!
● Nahitaji yeyote mwenye ndoto za ufugaji kama zangu tupigane "kampani"
●Niko mbele kidogo ya mkoa wa Njombe kuelekea Ludewa (Mwendo wa saa 3)
●Nina nyumba ya kuishi yenye umeme na maji (kwa umwagiliaji)
●Ukiamua nawe unaweza kuja kuishi huku.
Kama uko interested nichek PM au piga/sms namba hii:-
0765395666