burudani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ESPRESSO COFFEE

    JamiiForums Tanzania Je, wasanii wanaposhiriki kutoa burudani kwenye matamasha ya kiserikali huwa wanalipwa?

    Nianze kwa kukiri wazi kuwa, Tangu Nianze kufuatilia Matamasha ya Wasanii wanayo yafanya kwenye Jamii, Nimeona WASANII WA KITANZANIA wanaongoza Sana Kufanya PERFORMANCE zao Kwenye Matamasha/Mikutano Ya Kiserikali Kuliko Nchi Yoyote Ile Duniani. Mbaya Zaidi na Zaidi, Nimeona WASANII WENGI WA...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Yanga mpira mnacheza, magoli yanafungwa na burudani tunapewa, kongole sana wananchi

    Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌 N:B KMC msirudie kuipeleka...
  3. Baha06

    JamiiForums Tanzania Burudani nufaika

    Maisha ya amani na furaha ndiyo yenye kuleta haiba njema kwetu binadamu,na burudani ni moja ya njia ya kutupatia furaha. Leo napenda kuzungumzia burudani nufaika kutoka katika mfano wa mchezo wa Mpira wa miguu, mchezo huu umekuwa na manufaa kwa kupitia ubunifu wa ushawishi kwa kutumia njia ya...
  4. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Pasha: Mnanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize

    BURUDANI Mnanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize. Hapo jana Msanii Pasha Mtepa akifanya Mahojiano na kituo cha Runinga cha East Afrika TV alisema watu wanamkosea heshima kumshindanisha na Harmonize kwa sababu yeye ndio wa kwanza kuuwakilisha mkoa wa Mtwara na amekaa muda mrefu kwenye...
  5. May Day

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siasa za Kenya ni burudani tosha kila kukicha. Mwanasiasa Mtata Aisha Jumwa akiserebuka kwa Gospel kusherehekea anguko la BBI

    Mmoja wa Wanasisa wenye vituko kutokea Pwani ya Kenya Bi Aisha Jumwa ameamua kutoa burudani ya aina yake huku akipeleka ujumbe kwa Wapinzani wa Ruto.
  6. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Video: Tupate burudani kidogo

    Tupunguze stress kidogo maana zitatuua
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Kasesera na Chalamila watikisa ukumbi wa burudani, wamwaga Kwaito, usipime!

    Hakika kuna watu wamejaaliwa vipaji, hawa viongozi kwa kweli ni burudani sana!
  8. Lord Diplock MR

    JamiiForums Tanzania Kipi ni Kipindi bora cha burudani kwasasa kati ya Empire (EFM), The Switch (Wasafi FM) au XXL (Clouds FM)?

    Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza, Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha Wasafi FM kinachoendeshwa na The Real Ommy, Ammy Gal na mshana au 3. XXL cha Clouds FM cha kina mchomvu...
  9. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Simba SC kiwanda kikubwa cha burudani Tanzania

    Mungu akupe maisha marefu Mo Dewji, Bodi ya Simba, CEO Barbara, Mwamba Haji Manara. Mungu awape maisha marefu na ufanisi technical bench. Mungu awaongezee umaridadi wachezaji wooote first eleven, wanaokaa bench na wanaobaki majukwaani. Mnafanya kazi nzuri kutuba burudani washabiki...
  10. Tonydigital

    JamiiForums Tanzania Oliver N’Goma: Muziki Burudani na Elimu (Ujumbe)

    Habari za muda huu wadau? Siku ya leo ya mapumziko (Muungano) nimeamua kupitia na kusikiliza baadhi ya nyimbo za nguli wa muziki Oliver N’Goma ( sasa marehemu) moja ya nyimbo zake nazozipenda ni hii “Bane” iliyoachiwa rasmi mwaka 1990 na inapatikana kwenye album yake ya kwanza yenye jina hilo...
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Burudani: Msako wa Triple C na Bwalya dhidi ya FC Platnumz

    Mashoga zake na Utopolo
  12. J

    JamiiForums Tanzania Burudani kwenye siasa haziepukiki ndio maana Tundu Lissu na Raila Odinga hucheza reggae, CCM hupendelea singeli

    Hakuna namna utafanya mikutano ya kampeni bila kuwachangamsha wahudhuriaji kwa burudani tofauti tofauti. CCM hupendelea kwaya na Singeli Chadema wao hupiga reggae kama ODM ya Kenya ACT Wazalendo hupendelea mirindimo ya Pwani NCCR mageuzi hupiga kwaya nk nk Kinachotofautisha aina za burudani...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Utambulisho

    Habari jamiiforum. .!! Mimi ni mgeni humu nashukuru rasmi nimeweza kujiunga jamii forum kwenye kambi kuu ya maarifa na burudani. Asanten
  14. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu hili gitaa la huu wimbo limekaaje

    Habari za Leo wakuu, Hili gitaa la huu wimbo limekaaje.
  15. D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Karagwe: DC aamuru kujengwa jukwaa lingine ili litumiwe na Waziri Mkuu, asema jukwaa la awali ambalo ni la kudumu limetiwa najisi na Tundu Lissu

    Siasa za Tanzania kusema kweli chama tawala kinatia aibu. Kesho waziri mkuu atakuwa Karagwe kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Sasa leo DC wa Karagwe ameamuru kujengwa jukwaa lingine baada ya jukwaa la asili ambalo alitumia Tundu Lissu kujinadi kudai kuwa limetiwa najisi. Yaani Tundu Lissu...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Nchi iko katika maombolezo, huku soka, harusi, sherehe na burudani zinaendelea, sasa kwanini kumpokea Lissu ndio iwe tatizo?

    Na sio hayo tu, hata upigaji wa kura za maoni kweny vyama vya siasa unaendelea. Sasa kwanini watu kwenda kumpokea mgeni/kiongozi wao ndio iwe tatizo? Ni wapi CHADEMA wamesema wataandamana? Kukutana airport huku kila mtu akitokea nyumbani Kwake, ndio kuandamana au ndio kufanya mkusanyiko usio...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa burudani, je ni kiwanja gani kikali kati ya hivi?

    Nina likizo ya kama siku 21, sasa nina kajisenti hapa ka kula burudani kwa muda huu wa likizo kisha nirudi kuendelea kutumika kwa mwajiri. Kwanza mimi situmii aina yoyote ya kilevi ila nina kilevi changu. Sasa naomba kujua kati ya maeneo haya ya burudani wapi napata kilevi changu au vilevi...
  18. East Wind

    JamiiForums Tanzania Upo kiwanja gani ( Sehemu ya burudani shangwe ) mwana JF

    Upo kiwanja gani ( SEHEMU YA BURUDANI SHANGWE ) mwana JF .. tujumuike kuinuana 😇
  19. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Live show Usiku wa Burudani na Don Nalimison.

  20. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Usiku huu Liverpool FC inanianzishia Furaha yangu, ila Siku ya Jumapili Simba SC itanikamilishia Burudani ya Mfululizo wa Ubingwa

    Asanteni sana Chelsea FC kwa Kuturahisishia Kazi baada ya Miaka 30, ila Prisons FC Jumapili mtatusamehe mno Simba Sports Club kwa Kichapo.
Back
Top Bottom