dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,990
Siasa za Tanzania kusema kweli chama tawala kinatia aibu.
Kesho waziri mkuu atakuwa Karagwe kwenye kampeni za uchaguzi mkuu.
Sasa leo DC wa Karagwe ameamuru kujengwa jukwaa lingine baada ya jukwaa la asili ambalo alitumia Tundu Lissu kujinadi kudai kuwa limetiwa najisi. Yaani Tundu Lissu alilitia najisi.
Aidha jukwaa hilo limetengenezwa na wafungwa.
Hapa ndipo yalipoibuliwa madai ya Rais Magufuli kujimilikishia ardhi ya hekari 25000.
Acha kesho tusikie.
My take
Kitu kilichonikera ni kuwa DC huyo katumia lugha chafu za udhalilishaji wa utu dhidi ya Tundu Lissu kuhalalisha kusudio lake hilo!
Kesho waziri mkuu atakuwa Karagwe kwenye kampeni za uchaguzi mkuu.
Sasa leo DC wa Karagwe ameamuru kujengwa jukwaa lingine baada ya jukwaa la asili ambalo alitumia Tundu Lissu kujinadi kudai kuwa limetiwa najisi. Yaani Tundu Lissu alilitia najisi.
Aidha jukwaa hilo limetengenezwa na wafungwa.
Hapa ndipo yalipoibuliwa madai ya Rais Magufuli kujimilikishia ardhi ya hekari 25000.
Acha kesho tusikie.
My take
Kitu kilichonikera ni kuwa DC huyo katumia lugha chafu za udhalilishaji wa utu dhidi ya Tundu Lissu kuhalalisha kusudio lake hilo!