Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Na sio hayo tu, hata upigaji wa kura za maoni kweny vyama vya siasa unaendelea. Sasa kwanini watu kwenda kumpokea mgeni/kiongozi wao ndio iwe tatizo?
Ni wapi CHADEMA wamesema wataandamana?
Kukutana airport huku kila mtu akitokea nyumbani Kwake, ndio kuandamana au ndio kufanya mkusanyiko usio halalai?
Kama ni hivyo, wanaokusanyika katika sehemu zingine kama viwanjani, kwenye makongamano au mikutano,nao wanavunja sheria?
Hivi nchi hii imeundwa leo au jana kiasi kwamba bado hatuzijui vizuri sheria za nchi na katiba ya nchi hii mpya?
Kwa maneno mengine,tunaishi katika nchi mpya ikiwa na watu wapya katika uongozi wa taaaisi mbalimbali za nchi na ndio maana tunaonekana kukosea/kujichanganya?
Ni wapi CHADEMA wamesema wataandamana?
Kukutana airport huku kila mtu akitokea nyumbani Kwake, ndio kuandamana au ndio kufanya mkusanyiko usio halalai?
Kama ni hivyo, wanaokusanyika katika sehemu zingine kama viwanjani, kwenye makongamano au mikutano,nao wanavunja sheria?
Hivi nchi hii imeundwa leo au jana kiasi kwamba bado hatuzijui vizuri sheria za nchi na katiba ya nchi hii mpya?
Kwa maneno mengine,tunaishi katika nchi mpya ikiwa na watu wapya katika uongozi wa taaaisi mbalimbali za nchi na ndio maana tunaonekana kukosea/kujichanganya?