burudani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mbunge wa CCM badala ya kujadili kero za ugumu wa maisha, anashauri Mawaziri wajengewe sehemu za starehe. Hii ni aibu

    Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Janejelly James ameishauri Serikali kuandaa eneo maalumu la viongozi kupumzika baada ya kazi akidai kuwa hivi sasa hali imebadilika kwa kuwa viongozi wameondolewa raha ya faragha na kusababaisha waonekane hawana maadili.
  2. Roving Journalist

    Dar: Basi la Burudani kutoka Korogwe Tanga, lapata ajali Mbezi

    Watu kadhaa wanasadikiwa kupoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa, kufuatia ajali iliyotokea maeneo ya Mbezi Luguluni, ikihusisha Basi la kampuni ya Burudani, lililokuwa likitokeaa mkoani Tanga kuelekea Dar es Salaam, ambapo basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi, hivyo wakati...
  3. B

    Kinywaji kitamu chaonekana Coco Beach

    Katika pita pita zetu maeneo ya koko beach tulikutana na bango la vinywaji ambacho hakikueleweka ni kampuni gani japo wananchi waliokuwa wanapita walionja onjaaa. Nasi tulijongea nasi kujipatia kamnyeso katamu japo katika dadisi dadisi zetu hatukuweza kujua ni kampuni gani? Basi leo tutarudi tena.
  4. yoteyametimia

    Maproduza tuleteeni Come Dine With Me Tanzania

    Hiki ndo kipindi changu pendwa cha TV kwenye BBC Lifestyle channel 174. Mnakutanishwa watu wanne, tano au sita ambao hamjuani, mnatembeleana kila cku nyumba ya kwanza hadi wa mwisho halaf mshindi anapatika siku ya mwisho anashinda pesa, kaz yenu kupika chakula na kuwapa watu good time nyumbani...
  5. OKW BOBAN SUNZU

    Soka ni burudani, hii mechi iliisha Simba 3-1

    Mpira ni starehe, mpira ni ubishani, mpira ni ushabiki. Wewe na hisia zako za kidingi baki nyumbani au tafuta mchezo mwingine.
  6. ryan riz

    Hawa Wabrazil wa Singida Big Starz si wa kitoto

    Hapa nawacheck naona ligi kuwa ngumu sana kule top 4. Wana nguvu speed, wepesi, control na namna ya ukokotaji wa mpira na zile press ni hatari.
  7. chizcom

    App ya Simba ni kama tunapoteza pesa kwenye ada kulipia tupate taarifa na burudani

    Mimi ni mwana-Simba na nilivutiwa sana kuona Simba ikizidi kusonga kidigitali ila hii digitali yao imelala nyuma kama kawaida yetu suala la ICT linakuwa tofauti na kulizika kabisa na mifumo yao. Hii App ya Simba tulitarajia mengi mfano ukilinganisha na app za club nyingine app zao unaweza kuwa...
  8. GENTAMYCINE

    Yanga SC wanavyohangaika na Burudani za kuwa Mabingwa wa Michongo utadhani wamechukua Kombe la CAFCL au CAFCC

    Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa (za Wasiojua) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
  9. sky soldier

    Yanga inakwenda kutufufundisha jinsi ya kushangilia, basi kama la Liverpool lakodishwa afrika kusini, burudani ni next level, haijawahi kutokea

    "Yanga tunakwenda kuwafundisha watu jinsi ya kushangilia UBINGWA" "Tofauti ya Yanga na timu zingine ni kwenye ufanyaji wa shughuli zake, Just imagine kuna watu ubingwa waliubeba kwenye Kenta" "Tumeomba viongozi wa Uwanja wa Sokoine na wa bodi ya ligi kusogeza nyuma muda wa kucheza kutoka saa...
  10. Chachu Ombara

    Burudani: Freshley Mwamburi asherekea miaka 30 ya Stellah kurudi Kenya akiwa na mchumba Mjapani mfupi futi 4

    Rhumba icon Freshly Mwamburi, is celebrating 30 years after his girlfriend returned home from Japan with a new man. The veteran musician expressed his disappointment in his song 'Stella Wangu'. The record is a love/hate story wonderfully put together. And every year on May 17, Kenyans...
  11. REJESHO HURU

    Wadau wa burudani yupo wapi Mc Babu Ayubu

    Wadau wa burudani nadhani mnamkumbuka uyu mtu nimesikiaa wimbo wa kikao cha dharula wa prof jay nikakumbuka hiki kipaji kilichojizolea umarufu kwa kuiga sauti za watu mashuhuri mbali mbali hapa mjini hasa sauti ya mzee wetu afande tibaigana Kajificha wapi uyu mtanzania mwenzetu.
  12. BAKIIF Islamic

    Waislamu msikae kizembe, Mtume Muhammad (S.A.W) amecheza michezo mingi ya burudani katika maisha yake

    Uislamu sio dini ya kununa au kukunja uso na userious muda wote hadi kuanza kuogopeka na watu. Uislamu ni dini ya wastani isiyo na aina yoyote ya itikadi kali au ulegevu. Inakataza burudani isiyo na faida na isiyo na manufaa ya kidunia au ya kidini, na wakati huo huo inahimiza kupumzika kwa...
  13. B

    Vituko na Burudani kufuatia kuachiwa kwa Mbowe

    Kufuatia kuachiwa huru kwa Mh. Mbowe na watuhumiwa wenzake na yaliyofuatia hadi Ikulu, kwa ujumla kumeleta furaha kubwa nchini. Heko Samia, Mbowe na wote waitakiao mema nchi hii. Mshindwe na mlegee enyi mliojawa na nyoyo za ufedhuli ambapo kwenu, mema ndiyo maovu na maovu ndiyo mema. Angalia...
  14. Faana

    Kipanya ni Burudani Tosha

  15. Roving Journalist

    Dar: Yaliyojiri Maadhimisho ya Miaka 60 ya Tanganyika Uwanja wa Uhuru

    Matukio Katika Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa pamoja na Wananchi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam #Miaka60YaUhuru #AMANIYETUFURAHA...
  16. sinza pazuri

    Diamond Platnumz kujenga arena kubwa ya burudani

    Katika kuendelea na uwekezaji msanii namba moja Africa, Diamond Platnumz anakuja na investment ya ukumbi mkubwa wa burudani. Arena hiyo itayoweza kuchukua mpaka watu 20,000 itakuwa na kumbi za muziki, maduka, migahawa na lounge. Itakuwa solution ya kilio cha muda mrefu kwa wapenzi wa burudani...
  17. ESPRESSO COFFEE

    Je, wasanii wanaposhiriki kutoa burudani kwenye matamasha ya kiserikali huwa wanalipwa?

    Nianze kwa kukiri wazi kuwa, Tangu Nianze kufuatilia Matamasha ya Wasanii wanayo yafanya kwenye Jamii, Nimeona WASANII WA KITANZANIA wanaongoza Sana Kufanya PERFORMANCE zao Kwenye Matamasha/Mikutano Ya Kiserikali Kuliko Nchi Yoyote Ile Duniani. Mbaya Zaidi na Zaidi, Nimeona WASANII WENGI WA...
  18. M

    Yanga mpira mnacheza, magoli yanafungwa na burudani tunapewa, kongole sana wananchi

    Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌 N:B KMC msirudie kuipeleka...
  19. Baha06

    Burudani nufaika

    Maisha ya amani na furaha ndiyo yenye kuleta haiba njema kwetu binadamu,na burudani ni moja ya njia ya kutupatia furaha. Leo napenda kuzungumzia burudani nufaika kutoka katika mfano wa mchezo wa Mpira wa miguu, mchezo huu umekuwa na manufaa kwa kupitia ubunifu wa ushawishi kwa kutumia njia ya...
Back
Top Bottom